Nafasi za Masomo ya Uandishi wa Habari "intake" ya Julai, 2020

Nafasi za Masomo ya Uandishi wa Habari "intake" ya Julai, 2020

DSJ

New Member
Joined
Jun 28, 2019
Posts
4
Reaction score
6
JOURNALISM - JULY, 2020 LIGHT.jpg


DSJ - JULY INTAKE
Wahi mapema kabla nafasi hazijaisha.

SIFA ZA KUJIUNGA NA MASOMO

1. “CERTIFICATE:” Mwombaji awe amemaliza kidato cha nne (IV) kwa ufaulu wa angalau D nne (4), na D moja kati ya hizo iwe ya somo la Kiingereza.

2. “DIPLOMA:” Mwombaji awe amemaliza kidato cha sita (VI) kwa ufaulu wa angalau “Principal” moja na “Subsidiary” moja. Au awe amehitimu “Certificate” ya “Journalism” au kozi yoyote inayofanana na “Journalism” pia awe ana “GPA” ya kuanzia 2.0 na kuendelea kutoka katika chuo kinachotambulika na serikali.

Kwa maelezo zaidi tembelea Chuoni, Ilala Bungoni, karibu na Kituo cha Msaada Gereji

Au tupigie simu
0655573294 | 0735573294 | 0717248231 | 0738971289
Barua Pepe: info.dsj@uti.ac.tz

Ku “Download” Fomu Zetu au kufanya maombi "Online" Tembelea Tovuti yetu: www.dsj.uti.ac.tz

WOTE MNAKARIBISHWA
 
Back
Top Bottom