Nafasi za Scholarship Ph.D & Masters

Kigezo cha pili sjakielewa naombeni ufafanuzi
 
Kigezo cha pili sjakielewa naombeni ufafanuzi

Wanataka watu wanaofundisha vyuo mkuu, au member wa staff wa vyuo vikuu iwe private au government.
Huu ni ubaguzi mwingine yaani watu wana kazi ila wanapewa fursa za kusomeshwa???
Kweli hii nchi bana kazi kwel kwel
 
Hii fursa nzuri kwa kuihama nchi.
 
Wanataka watu wanaofundisha vyuo mkuu, au member wa staff wa vyuo vikuu iwe private au government.
Huu ni ubaguzi mwingine yaani watu wana kazi ila wanapewa fursa za kusomeshwa???
Kweli hii nchi bana kazi kwel kwel

Kwa iyo tusiofundisha vyuo atutaki kusoma au....ubaguzi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…