Nafasi za ualimu mwaka huu 2014 zinatoka lini?

deonova

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
742
Reaction score
419
habari wadau,
Napenda kuuliza kuhusu nafasi za kusoma vyuo vya Ualimu grade A kwa waliomaliza form IV, naona kimya kingi je kuna mwenye taarifa atufahamishe wadau? Hizi nafasi kama sijakosea tuliomba/nilimwombea mdogo wangu mwezi wa 5 mwaka huu na naona wale wa Ngazi Rekebishi (Bridging Course) wameshaitwa. Je kwa hizi zingine huwa wanaingia lini ama kuna taarifa yoyote?
 
Sawa mkuu ngoja ntafanya follow up hiyo wiki ijayo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wadau hii kitu bado hadi leo mwezi August? Mwenye taarifa mpya please.
 
kwakwel hawajatutendea haki muda umekuwa mwng jmn
 
Mafunzo kabilishi ngazi ya cheti bado!
www.moe.go.tz
walio chaguliwa ni STASHAHADA
http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=1782😱rodha-ya-wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-mafunzo-maalumu-rekebishi-bridging-course&catid=1:latest-news
 
Tumechokaje mtaani bora watoe mapema tujue nini tufanye kuliko kuchelewesha hvyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…