deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 419
habari wadau,
Napenda kuuliza kuhusu nafasi za kusoma vyuo vya Ualimu grade A kwa waliomaliza form IV, naona kimya kingi je kuna mwenye taarifa atufahamishe wadau? Hizi nafasi kama sijakosea tuliomba/nilimwombea mdogo wangu mwezi wa 5 mwaka huu na naona wale wa Ngazi Rekebishi (Bridging Course) wameshaitwa. Je kwa hizi zingine huwa wanaingia lini ama kuna taarifa yoyote?
Napenda kuuliza kuhusu nafasi za kusoma vyuo vya Ualimu grade A kwa waliomaliza form IV, naona kimya kingi je kuna mwenye taarifa atufahamishe wadau? Hizi nafasi kama sijakosea tuliomba/nilimwombea mdogo wangu mwezi wa 5 mwaka huu na naona wale wa Ngazi Rekebishi (Bridging Course) wameshaitwa. Je kwa hizi zingine huwa wanaingia lini ama kuna taarifa yoyote?