Nafasi za Zanzibar kwenye Muungano

Nafasi za Zanzibar kwenye Muungano

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Je, Wazanzibar wanaomba kupitia ajira portal hii au kuna ajira portal yao?

Nimeona nafasi za TRA usaili ulifanyika DSM, Dodoma na Zanzibar.

Hao waliofanya usaili Zanzibar walipatikanaje? Naomba muongozo
 
Kwani hao wa Dodoma walipatikana vipi? Si maelezo yote yako kwenye mtandao au una wasiwasi?
Maelezo yako kwenye mtandao gani?
Hebu kama unajua kitu muelezee mtu unaweza kuwa ni msaada kwake. Kuna mtu wa Zanzibar kajaribu sana huku bars lakini ushindani ni mkubwa. Anataka kurudi kuombea nyumbani.
 
Kwani hao wa Dodoma walipatikana vipi? Si maelezo yote yako kwenye mtandao au una wasiwasi?
Maelezo yako kwenye mtandao gani?
Hebu kama unajua kitu muelezee mtu unaweza kuwa ni msaada kwake. Kuna mtu wa Zanzibar kajaribu sana huku bara lakini ushindani ni mkubwa. Anataka kurudi kuombea nyumbani.
 
Maelezo yako kwenye mtandao gani?
Hebu kama unajua kitu muelezee mtu unaweza kuwa ni msaada kwake. Kuna mtu wa Zanzibar kajaribu sana huku bara lakini ushindani ni mkubwa. Anataka kurudi kuombea nyumbani.
Kwa maoni yangu siku hizi ajira zote application zake zinapitia kwenye mitandao, siyo zile enzi zetu ukimaliza degree unafuatwa chuoni na kuombwa kufanya kazi katika shirika fulani.

Vigezo vinavyotumika kwa Bara na Visiwani naamini ni vile vile na kwa vile applications ni nyingi sana (munaomaliza degree ni wengi jamani) hakuna kazi itakayotangazwa ikawa haina applicants wengi.

Ajitahidi kuuliza kutoka kwa wenzake.
 
Zanzibar Revenue Board wao wanatoa lini ajira zao. Nataka nijitupie huko nikakusanye mapato Zanzibar nikitokea bara.
 
Zanzibar Revenue Board wao wanatoa lini ajira zao. Nataka nijitupie huko nikakusanye mapato Zanzibar nikitokea bara.
Ajira za serikalini kule wanaandika kabisa wanaotakiwa kuajiriawa ni Wazanzibari tena unatakiwa uattach kitambulisho cha Mzanzibari
 
Kwa maoni yangu siku hizi ajira zote application zake zinapitia kwenye mitandao, siyo zile enzi zetu ukimaliza degree unafuatwa chuoni na kuombwa kufanya kazi katika shirika fulani.

Vigezo vinavyotumika kwa Bara na Visiwani naamini ni vile vile na kwa vile applications ni nyingi sana (munaomaliza degree ni wengi jamani) hakuna kazi itakayotangazwa ikawa haina applicants wengi.

Ajitahidi kuuliza kutoka kwa wenzake.

Nimekupenda bure dear pamoja na ukongwe wako mammy...! 😘
 
Back
Top Bottom