Nafikaje choma waterfalls Morogoro?

Nafikaje choma waterfalls Morogoro?

fareed uziel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
657
Reaction score
710
Habari wadau
Nilikuwa nauliza nimepanga kutembelea Morogoro na familia ya watu watano, ningependa kufika choma waterfalls. Nakumbuka miaka kadhaa nishawahi kufika kwa pikipiki kutoka pale ofisi ya mkuu wa mkoa, nilikuwa nauliza kuna njia nyengine ya kufika waterfalls kama kwa gari au lazima tupande pikipiki?

Pia tunaweza pata gari ya kukodi kutembezwa maeneo mbalimbali morogoro kama mzumbe,bwawa la mindu na any interesting place?
 
Habari wadau
Nilikua nauliza nimepanda kutembelea morogoro na familia ya watu watano,ningependa kufika choma waterfalls. Nakupunga miaka kadhaa nishawahi kufika kwa pikipiki kutoka pale ofisi ya mkuu wa mkoa,nilikua nauliza kuna njia nyengine ya kufika waterfalls kama kwa gari au lazima tupande pikipiki?

Pia tunaweza pata gari ya kukodi kutembezwa maeneo mbalimbali morogoro kama mzumbe,bwawa la mindu na any interesting place?
Choma waterfall morogoro kuna kumbukumbu kwa watu fulani.

Sasa mzee mbona kama haupo serious kabisa bwawa la mindu unaenda kutembelea nini? bwawa halina hata sehemu ya kukaa, bwawa halina mvuto, bwawa halina tofauti na dumbwi, bwawa halina hata sehemu ya kuingilia ni kupita machakani uking'atwa na nyoka je?

Na huko mzumbe unaenda kutembelea nini mzee? au kuangalia wanafunzi wa chuo? maana mzumbe hamna kivutio chochote.

Anyway kwa kuwa umetaka mwenyewe machaguo yako kidogo choma waterfall kuna afadhali unaweza ukaenjoy, huko kwingine nakupa pole.
 
Choma waterfall morogoro kuna kumbukumbu kwa watu fulani.

Sasa mzee mbona kama haupo serious kabisa bwawa la mindu unaenda kutembelea nini? bwawa halina hata sehemu ya kukaa, bwawa halina mvuto, bwawa halina tofauti na dumbwi, bwawa halina hata sehemu ya kuingilia ni kupita machakani uking'atwa na nyoka je?

Na huko mzumbe unaenda kutembelea nini mzee? au kuangalia wanafunzi wa chuo? maana mzumbe hamna kivutio chochote.

Anyway kwa kuwa umetaka mwenyewe machaguo yako kidogo choma waterfall kuna afadhali unaweza ukaenjoy, huko kwingine nakupa pole.
Ohhh sikujua kuhusu bwawa la mindu,basi nilikua najua ni interesting place. Mzumbe kuna dogo pia kutembea tu ila sio lazima.

Vp kuhusu choma panafikika kwa gari?sasa hivi pameendelea kidogo?
 
Ushaiba kodi zetu alafu unakuja kutuuliza jinsi ya kuzítumia Ok......
Watu maskini mnadhani ili mpate pesa lazima muajiriwe serikalini,ndio maana mkiajiriwa mnawaza kuiba. Mimi ni mzalishaji na mlipa kodi mzuri na hapa kila nikitumia pesa nachangia mzunguko wa pesa,ningeweza kuziweka pesa bank au kujilimbikizia maviwanja ambayo siyatumii 😂
 
Ohhh sikujua kuhusu bwawa la mindu,basi nilikua najua ni interesting place. Mzumbe kuna dogo pia kutembea tu ila sio lazima.

Vp kuhusu choma panafikika kwa gari?sasa hivi pameendelea kidogo?
kama mzumbe unaenda kumtembelea mwanao hapo sawa.
Ukifika mindu utakiona bwawa la mindu utaamua mwenyewe.

Choma nimeenda mda mrefu sana, panaendeka na gari ila kuna sehemu lazima utembee.

Ukiweza nenda Mikumi utaenjoy zaidi.
 
kama mzumbe unaenda kumtembelea mwanao hapo sawa.
Ukifika mindu utakiona bwawa la mindu utaamua mwenyewe.

Choma nimeenda mda mrefu sana, panaendeka na gari ila kuna sehemu lazima utembee.

Ukiweza nenda Mikumi utaenjoy zaidi.
Asante mkuu,its a day trip and mikumi tushawahi kufika. Tulikua tunataka kuijua moro zaidi.
 
Choma nimeenda week iliyopita,
Kule juu mwendo ni pikipiki,njia ni mbovu mno pikipiki zenyewe zinapanda kwa tabu..mvua zimeharibu sana njia.
Ila ni sehem nzuri kutembelea
 
Choma nimeenda week iliyopita,
Kule juu mwendo ni pikipiki,njia ni mbovu mno pikipiki zenyewe zinapanda kwa tabu..mvua zimeharibu sana njia.
Ila ni sehem nzuri kutembelea
Asante sana mkuu Kwa taarifa hii,vp nauli bei Gani sasa hivi Kwa pikipiki?
 
Kama utalala.. fikia pale Soweto Village Hotel utaenjoy sana (ipo katikati ya Mindu na Mzumbe) pale utapata view nzuri sana ya mlima.

Njia hiyo ya kwa Mkuu wa Mkoa ni rahisi na inapitika hivyo ukihitaji utumie pikipiki kufika pale inawezekana kabisa. Lakini ni vizuri mkatembea hata kuanzia pale shule ya msingi mpaka kufika waterfalls then wakati wa kurudi mkapanda hizo boda sasa.
 
Back
Top Bottom