edgar90
Senior Member
- Jun 18, 2016
- 145
- 116
Bilashaka mnaendelea vizuri wanajamii forumn !! Niende kwenye mada!! Binafsi hua Nina ndoto ya kutengeneza ndege lakini hua sijaifanyia kazi,sasa baada ya yule kijana wa tunduma kutengeneza helikopta ni kama amenichochea ile ndoto yangu kwa sababu tangia nipo form six nilikua nikijifunza masuala ya ndege,sehemu zake na jinsi zinavyofanya kazi!!
Sasa naomba msaada wenu mimi nimtaalamu wa masomo ya physics na mathematics na nimejaribu kufanya research how to build ultralight aircraft at home ,nimetumia mda mwingi sana ili nitakapoanza kutengeneza basi nihakikishe ndege ina take off Sio kama wa tunduma japo alijaribu!
Mimi ni mtumishi wa serikali!!
Sasa naomba msaada wenu mimi nimtaalamu wa masomo ya physics na mathematics na nimejaribu kufanya research how to build ultralight aircraft at home ,nimetumia mda mwingi sana ili nitakapoanza kutengeneza basi nihakikishe ndege ina take off Sio kama wa tunduma japo alijaribu!
Mimi ni mtumishi wa serikali!!