eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
tangu anaanza mziki mpaka leo manene yaleyale hivi hamnaga maneno mengineHuyu jamaa userious kwenye mziki unapotea vidio vidio tu hazitakusaidia kitu dimond
Kiukweli hii wakawaka audio ni upuuzi tu bora hata sikomi mara mia
tangu anaanza mziki mpaka leo manemo yaleyale hivi hamnaga maneno mengine
Kwenye ukweli usemwe tu kwenye Audio jamaa hapa ameboa sanachuki aliyekufunza nani hujazaliwa nayo ila umekutwa nayo ukubwani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijafatilia mada ipasavyo ila io idadi ya mashabik its funnie..si bora aende sauz ajaze fnb stadium hta mkwanja utakua mkubwa zaid km atafanikiwa kujazaLeo hii umeikubali sikomi du, we juzi so uliuponda SIKOMI, alafu hamna msanii anayetoa hiti kila nyimbo,kuhusu diamond mziki kumshinda we si wakwanza kumtabiria , kuna wenzako kama mia humu JF, tokea 2013 mpaka leo bado yupo juu na usisahau, tarehe 17 DEC ana show UK ,ktk ukumbi wa indigo (unachukua watu zaidi ya watu 2800) ,anaandika historia ,sasa wewe endelea kusubiria ndege feri.
Nimesema bora hata sikomi sio nimeikubaliLeo hii umeikubali sikomi du, we juzi so uliuponda SIKOMI, alafu hamna msanii anayetoa hiti kila nyimbo,kuhusu diamond mziki kumshinda we si wakwanza kumtabiria , kuna wenzako kama mia humu JF, tokea 2013 mpaka leo bado yupo juu na usisahau, tarehe 17 DEC ana show UK ,ktk ukumbi wa indigo (unachukua watu zaidi ya watu 2800) ,anaandika historia ,sasa wewe endelea kusubiria ndege feri.
Mzee baba muziki biashara.... Sasa wewe mwambie kibakuli wako apambe yale mashairi yake kama kama lile shairi la [HASHTAG]#sungura[/HASHTAG], na huku mnaemchukia anaendelea kupata chatiUnamshirikisha msanii mkubwa riki rosee halafu Audio inakuwa mbovu namna hii
P sqwea walimshirikisha huyu jamaa unaona walichokifanya dimondi
Yaani Audio unafeli siku za hivi karibuni