uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kwa heshima na moyo wa masikitiko nawaombea faraja wafiwa wote katika Ibada ya Mwamposa!
Ninaimani serikali yangu sikivu haitalifumbia hili macho ili kuweka standard katika namna ya ku deal na hawa manabii fake!
Mtu anapoitisha kongamano na kupata kibali anawajibika kuangalia usalama wa watu wanaohudhuria na kuhakikisha wapo salama.
Nina maswali tu Machache ya kuuliza:
1. Kwa nini hapakuwa na utaratibu wa kuratibiwa wa kufuata huo upako wa kueleweka?
2. Hapakuwa na ushers ambao wanakuwa katikati wakisimamia mambo yote yanayoendelea?
3. Je mazingira ya eneo mlilofanyikia kongamano palikuwa ni salama kwa kuangalia idadi na kuja kitu?
4. Kuna Watoto wanne pia wamekufa, ni namna gani waliiweka ya kuweka uwiyano wa Watoto nawatu wazima?
Nafikiri ni wakati Serikali yetu iangalie haya mambo ya manabii kwa Kina, na iwasadie wananchi wake!
Ninaimani serikali yangu sikivu haitalifumbia hili macho ili kuweka standard katika namna ya ku deal na hawa manabii fake!
Mtu anapoitisha kongamano na kupata kibali anawajibika kuangalia usalama wa watu wanaohudhuria na kuhakikisha wapo salama.
Nina maswali tu Machache ya kuuliza:
1. Kwa nini hapakuwa na utaratibu wa kuratibiwa wa kufuata huo upako wa kueleweka?
2. Hapakuwa na ushers ambao wanakuwa katikati wakisimamia mambo yote yanayoendelea?
3. Je mazingira ya eneo mlilofanyikia kongamano palikuwa ni salama kwa kuangalia idadi na kuja kitu?
4. Kuna Watoto wanne pia wamekufa, ni namna gani waliiweka ya kuweka uwiyano wa Watoto nawatu wazima?
Nafikiri ni wakati Serikali yetu iangalie haya mambo ya manabii kwa Kina, na iwasadie wananchi wake!