Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

MPINGA UKAWA

Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
8
Reaction score
16
Wakuu nawasalimu

Wakuu nimeona fursa katika biashara ya maziwa natamani sana kufanya biashara hii

Biashara hii haswa natamani kuwauzia viwanda vinavyo sindika bidhaa hii Kama vile Asas , tanga fresh ,shambani milk na vinginevyo hata vidogodogo vyenye uwezo wa kuchukua kuanzia lita 50 Hadi 100

Plan yangu ninunue eneo pembezoni mwa mji Kama ekari 5 nifuge ngombe 50 wa kisasa wa maziwa ambapo kila ngombe anipe lita 30 kwa siku inamana kwa siku kwa ngombe 50 nitaweza zalisha lita 1500
Bajeti yng ya mtaji ni ml 80

Eneo nalotaka kufanyia hii project ni morogoro dumila na sababu ya kuchagua morogoro ni upatikanaji wa malisho

Wakuu michango yenu Ni muhimu sana kwa
 
Wakuu nawasalimu

Wakuu nimeona fursa katika biashara ya maziwa natamani sana kufanya biashara hii

Biashara hii haswa natamani kuwauzia viwanda vinavyo sindika bidhaa hii Kama vile Asas , tanga fresh ,shambani milk na vinginevyo hata vidogodogo vyenye uwezo wa kuchukua kuanzia lita 50 Hadi 100

Plan yangu ninunue eneo pembezoni mwa mji Kama ekari 5 nifuge ngombe 50 wa kisasa wa maziwa ambapo kila ngombe anipe lita 30 kwa siku inamana kwa siku kwa ngombe 50 nitaweza zalisha lita 1500
Bajeti yng ya mtaji ni ml 80

Eneo nalotaka kufanyia hii project ni morogoro dumila na sababu ya kuchagua morogoro ni upatikanaji wa malisho

Wakuu michango yenu Ni muhimu sana kwa
Wapinga Ukawa wenzako watakupa mchango

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana,
Good idea, utaongeza na ufugaji wa kuku, samaki na kilimo kidogo ili mbolea itumike vzr, plus update malisho ya kiangazi kutoka kwenye mabaki ya kilimo na kilimo kisapoti wafanyakazi wa shamba laki
 
Kila la kheri mkuu, WAZO ZURI
Ila ninge kuwa mm hizo mil.80 na hizo Ekari 5.

NINGE JENGA SHULE (Sec or Msingi)
Au ninge Jenga kituo cha AFYA dispensary or Hospitali.
PRIVATE, ningekula mimi kuku kwa mlija, mpaka na waijukuu zangu, bila kelele nyingi,
KAMA WIZI, WA MIFUGO, WAKULIMA NA WAFUGAJI N.K
Kata ikitokea naambiwa yale maneo matatu ambayo sinto yasikia,
"BWANA AMETOA NA BWANA AME TWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE, wewe ni mavumbi na mavumbini umerudi"
AU,
INA LIHAHI WANA INAH LIHA LAJUU (samahan kwa speling error, sio dini yangu)
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Nitakuwa nime acha jina na huduma kwa Jamii,
KULIKO KUPIGIA MAGOTI VIWANDANI NA WARU WA CHAKULA NA DAWA TFDA, N.K
 
Kila la kheri mkuu, WAZO ZURI
Ila ninge kuwa mm hizo mil.80 na hizo Ekari 5.

NINGE JENGA SHULE (Sec or Msingi)
Au ninge Jenga kituo cha AFYA dispensary or Hospitali.
PRIVATE, ningekula mimi kuku kwa mlija, mpaka na waijukuu zangu, bila kelele nyingi,
KAMA WIZI, WA MIFUGO, WAKULIMA NA WAFUGAJI N.K
Kata ikitokea naambiwa yale maneo matatu ambayo sinto yasikia,
"BWANA AMETOA NA BWANA AME TWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE, wewe ni mavumbi na mavumbini umerudi"
AU,
INA LIHAHI WANA INAH LIHA LAJUU (samahan kwa speling error, sio dini yangu)
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Nitakuwa nime acha jina na huduma kwa Jamii,
KULIKO KUPIGIA MAGOTI VIWANDANI NA WARU WA CHAKULA NA DAWA TFDA, N.K
Sikupingi mkuu Ila kwa shule na huo mtaji mbn ni mdogo alafu pia nimechaguo huo mradi kutokana na interest zangu nitamudu
Lakini pia hata kimapato naona Kama maziwa italipa zaidi
Lita 1500 kwa siku na lita moja wastani niuze sh 1000 mara lita 1500 naona italipa zaidi japo bado sijajua changamoto zingine ndomana nikaja humu
 
Kila la kheri mkuu, WAZO ZURI
Ila ninge kuwa mm hizo mil.80 na hizo Ekari 5.

NINGE JENGA SHULE (Sec or Msingi)
Au ninge Jenga kituo cha AFYA dispensary or Hospitali.
PRIVATE, ningekula mimi kuku kwa mlija, mpaka na waijukuu zangu, bila kelele nyingi,
KAMA WIZI, WA MIFUGO, WAKULIMA NA WAFUGAJI N.K
Kata ikitokea naambiwa yale maneo matatu ambayo sinto yasikia,
"BWANA AMETOA NA BWANA AME TWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE, wewe ni mavumbi na mavumbini umerudi"
AU,
INA LIHAHI WANA INAH LIHA LAJUU (samahan kwa speling error, sio dini yangu)
emoji120.png
emoji120.png
emoji120.png
emoji120.png
emoji120.png


Nitakuwa nime acha jina na huduma kwa Jamii,
KULIKO KUPIGIA MAGOTI VIWANDANI NA WARU WA CHAKULA NA DAWA TFDA

Anza na ng'ombe wa 5 au 10, halafu uangalie changamoto utakazo zipata ndani ya mwaka mmoja na pia utajifunza mengi ndani ya muda huo.. then baada ya hapo you scale up.
Shukran mkuu napokea ushauri wako
 
Facts check
Maziwa kwa viwanda bei ni 500-800 sio 1000
Pia ng’ombe wa kukupa maziwa lita 30 consistently ni ngumu kupatikana pigia lita 10-20 per day
 
Ni wazo zuri sana la kibiashara, ila kulifanikisha ni ngumu sana, huu ni mradi unaohusisha uhai wa wanyama kwahiyo changamoto za maradhi na vifo ni setback kubwa ambayo utaenda kukutana nayo

changamoto kubwa ya Kwanza ni kuuziwa wanyama ambao hawana sifa unazozitaka,asilimia kubwa hakuna mfugaji ambae anauza mnyama wake walio Bora, mara nyingi wanauza wanyama wenye changamoto za maradhi/ uzalishaji ukapambane na wewe

Na Sijui kama hiyo 80M ndio budget ya kununua tu Ng'ombe au ni pamoja na ujenzi wa mabanda, maana kama lengo ni uzalishaji wa maziwa Lita 1500 Kwa siku ujue utatakiwa kuwa na miundombinu mizuri na itakugharimu pesa nyingi sana

Na kingine ni kwamba ni ngumu au haiwezekani kupata Ng'ombe wa kutoa Lita 30/day, Tanzania Ng'ombe ambao wanaweza kutoa Lita 30/day itakuwa wanahesabika na hao watakuwa wanapatikana kwenye Ranch za watu binafsi

Kwa bongo Ng'ombe akitoa Lita 15-20 huyo ndio Mwamba, kwahiyo kwenye kundi Lako la Ng'ombe 50 unaweza usipate ata mmoja anaetoa Lita 30, kwahiyo ni bora ukachange hesabu zako ziendane na uhalisia wa wanyama tulionao, weka maximum Lita 20 na of course ni ngumu mtu awe na Ng'ombe anatoa Lita 30 alafu amuuze

Na mwisho kabisa heka 5 hazitoshi kuhudumia Ng'ombe 50 wa maziwa, ni eneo dogo sana, Kwa Hilo eneo Lako yani umezidisha sana ungekuwa unapiga hesabu ya Ng'ombe 20
 
Kila la kheri mkuu, WAZO ZURI
Ila ninge kuwa mm hizo mil.80 na hizo Ekari 5.

NINGE JENGA SHULE (Sec or Msingi)
Au ninge Jenga kituo cha AFYA dispensary or Hospitali.
PRIVATE, ningekula mimi kuku kwa mlija, mpaka na waijukuu zangu, bila kelele nyingi,
KAMA WIZI, WA MIFUGO, WAKULIMA NA WAFUGAJI N.K
Kata ikitokea naambiwa yale maneo matatu ambayo sinto yasikia,
"BWANA AMETOA NA BWANA AME TWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE, wewe ni mavumbi na mavumbini umerudi"
AU,
INA LIHAHI WANA INAH LIHA LAJUU (samahan kwa speling error, sio dini yangu)
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Nitakuwa nime acha jina na huduma kwa Jamii,
KULIKO KUPIGIA MAGOTI VIWANDANI NA WARU WA CHAKULA NA DAWA TFDA, N.K
Sio wazo baya ila 80m Primary or sec? Hospital?

Unaweza toa mchanganuo kidogo?

Asante.
 
Back
Top Bottom