Nafikiria kuanzisha Kiwanda cha Bati, Mashine zake bei gani?

Nafikiria kuanzisha Kiwanda cha Bati, Mashine zake bei gani?

Mashine ya kukunja migongo na kukatata bati hii ukiagiza China bajeti andaa kuanzia 45m, material ni Hot Rolled Coils utakuwa ukiagiza au kununua kwa Dealers wakubwa hapa Nchini. Kwenye coils zipo aina tofauti zipo ambazo ni painted, alloy na ambazo hazina rangi.
 
Helloow mwenye taarifa za garama za kiwanda cha kushape bati anijuze,, nataka nianze kujipanga taratibu ndani ya miaka kazaa nianze uzalishaji asante
Gharama huwa ni mashine ya kuweka mikunjo. Wanaagiza sheet ambazo zinakuwa na rangi tayari, from there inapitishwa kwenye mashine inaweka migongo. Hapo itakubidi uwe na mashine ya migongo mipana na midogo. Pia kama utataka uwe na mashine ya migongo ile ya kupinda pinda.

Kuna kipindi nilienda kiwandani kununua bati ndo nikaona zinavyotengenezwa. Siyo kitu complicated kabsa, nikazoom mashine mojawapo nikanakili namba za simu kwenye lebal +86 151 2879 9105. Waweza anzia hapo, niliiona wasp ipo skuwahi kumcontact.

Kila la kheli mkuu
 
Mashine ya kukunja migongo na kukatata bati hii ukiagiza China bajeti andaa kuanzia 45m, material ni Hot Rolled Coils utakuwa ukiagiza au kununua kwa Dealers wakubwa hapa Nchini. Kwenye coils zipo aina tofauti zipo ambazo ni painted, alloy na ambazo hazina rangi.
Wapi ndani ya nchi coils zinapatikana mkuu?
 
Wapi ndani ya nchi coils zinapatikana mkuu?
Kama anaanza na akaagiza coils chini ya 10 cost zitakuwa juu kuanzia TBS,port charges,ushuru,shipping cost.

Changamoto atapata kwenye kupata hati ya ubora,specifications za materials za bati zinazotumika Tanzania.Hakuna importer hatakupa hizo wala kukunganisha na supplier anakochukua
 
hapana, usi msemee. Pengine anazo, au ni wazo tu ana pangilia.

as long as aki lenga kuwa mwezi, hata akiwa nyota si mbaya.

Kumbuka maisha yana tupa suprise kila kukicha!
Ni kweli kabisa, huwezi kujua bahati ya mtu
Yeye anataka ajipange kwanza ili siku moja awe na kiwanda
Hakika mimi sio wa kuhukumu
 
Ni kweli kabisa, huwezi kujua bahati ya mtu
Yeye anataka ajipange kwanza ili siku moja awe na kiwanda
Hakika mimi sio wa kuhukumu
naam, una Kumbuka ishu ya ya tomato!!, japo haikufanikiwa ila ili nifungulia milango fulani fulani.

muda mwingine una ulizwa, we dogo mbona una njaa kuzidi wakubwa zako 😁.

Ila nili pewa ushauri wa hapa na pale, why nifanye na kwanini nisi ifanye.
Beside something good coming senior Black Sniper
 
naam, una Kumbuka ishu ya ya tomato!!, japo haikufanikiwa ila ili nifungulia milango fulani fulani.

muda mwingine una ulizwa, we dogo mbona una njaa kuzidi wakubwa zako 😁.

Ila nili pewa ushauri wa hapa na pale, why nifanye na kwanini nisi ifanye.
Beside something good coming senior Black Sniper
Manshaa Allah
Ni kweli kabisa huwezi kujua yaliyo mbele yako
Nakuombea mafanikio mema yenye Baraka
 
Mashine ya kukunja migongo na kukatata bati hii ukiagiza China bajeti andaa kuanzia 45m, material ni Hot Rolled Coils utakuwa ukiagiza au kununua kwa Dealers wakubwa hapa Nchini. Kwenye coils zipo aina tofauti zipo ambazo ni painted, alloy na ambazo hazina rangi.
Hiyo bei ya mashine ya kukunjia hizo bati mbona kama iko chini sana! Kuna uzi wa miaka kadhaa nyuma, kuna jamaa alikuwa anauza milioni 80!!
 
Back
Top Bottom