Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
safi sana hii. ubarikiwe sana. hapo sawa yake mpandie huyo mnaelewana wenyewe uko mnafanya biashara.nikanakili namba za simu kwenye lebal +86 151 2879 9105
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana hii. ubarikiwe sana. hapo sawa yake mpandie huyo mnaelewana wenyewe uko mnafanya biashara.nikanakili namba za simu kwenye lebal +86 151 2879 9105
Machine mkuu bei zinaenda na specifications na uwezo wa kubend na kukata sheet utazoweka. Machine za kawaida zinaanzia usd 10,000 kuinunua.Hiyo bei ya mashine ya kukunjia hizo bati mbona kama iko chini sana! Kuna uzi wa miaka kadhaa nyuma, kuna jamaa alikuwa anauza milioni 80!!
Mkuu makampuni yazalisha mabat now Yako mengi sana na baadha Hadi mikoani kunshine kabisa wanatafuta wateja site by site Kila panapojengwa jengo wao wanaomba kazi yakuuza mabatiWazo zuri kinoma, NAMI nasoma👍
Helloow mwenye taarifa za garama za kiwanda cha kushape bati anijuze,, nataka nianze kujipanga taratibu ndani ya miaka kazaa nianze uzalishaji asante
Akinunua hapa hapa itamkataKiwanda cha bati hakihitaji eneo kubwa, hapo pambana upate vibali na leseni,machine na material utaagiza au kununua hapa nchini
Haitomkata, faida anapataAkinunua hapa hapa itamkata