Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Moja? Hapana Mara 2 sawa[emoji23]Yes at least mara 1 kwa wiki , la sivyo mnageuka kuwa roommates
[emoji23][emoji23]Brother umepata haujapata? Nahangaika sana kutuma pm bila mafanikio...
Uko sahihi100%Mkuu haujajua hisia zake zilipo.Muda unaotumia kuwaza kutafuta mchepuko utumie vzr kutafuta suluhisho la hii changamoto.
Wanawake wanasaikolojia ya ajabu Sana,nasema ya ajabu kwa maana Yani kitu kidogo Sana kinaweza kukabadili hisia zake na A ikawa B.!
Kama hauna utaratibu wa kutoka naye anza hvyo Mara moja na sio lazima gharama iwe kubwa.
Anza kubadirika wewe na si yeye.
Tafuta suluhisho la tatizo lako maana siku 2 au 3 then mnado sio mbaya
Kwakweli ni nyingi labda nikiwa na mimba sijui kwakweli!Wiki mbili nyingi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hazivumiliki sijui niwe na shughuli gani hiyo ya kunifanya nikae wiki mbili bila hiyo kitu
Niliwahi kuandika hapa siku za Nyuma kuwa kwenye sex life watu wamegawanyka makundi makuu matatuWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala) , siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2 , nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu .
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka , ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na Β« a very good chemistry together on bed Β»
Kama tunanyimwa tufanyaje Christine?Mnazingua san yaani,hata tukiwapa bado hamna shukrani!hamtulii![emoji23]![emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji16]Kila siku aisee hapana!
Ila wiki 2 tena mhh!,siwezi ni nyingi[emoji85][emoji23]
Kweli asee
Hujui?Mwanamke jukumu lake ni gani
Aisee wee jamaa umenichekesha Sana.Tulikwambiaga ni suala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia πΊ
Na wewe umefungika mkuu???Wakristo tumefungwa na Agano Jipya , ila Agano la kale , mambo yalikuwa safi
AiseeeeeAcheni kuchosha wanaume, daily mna kisa na sababu! Mtu kaacha wanawake woote kakuoa, still kwenye ndoa aendelee kuhangaika daily kutafuta pipi kijiti, chokoleti, sijui magauni hata kama hana hela ili tu apewe papuchi ambayo ameilipia mahali na kuamin angekula had kushiba.
Kwa vile mtu hataka kukupa kei una andaa lak na 70 kumpeleka hotel walau yenye chumba kizuri, mafuta umeweka ya 50,000 vyakula na vinywaji pale ndani 70,000
Just lak 3 imeondoka kwa siku moja kwa kugharamia kei ya mkewe na mkirud nyumban next day anarejea tabia yake.
Mkuu ushauri wangu ni huu
Usitake kumridhisha mwanamke kwa kila atakavyo hutaweza na ni vigeu geu, leo utampa hiki na kile atafurahia sana ipo siku utakuja na hicho hicho ukanuniwa sanaaa.
Pili mwanamke anaeumiza hisia ni yule uliyekuwa unafanya kila atakacho tena muda mwingine zaidi ya uwezo wako, mzaz kijijin umemnyima elf 30 ya shamba ukampa laki mmoja umpendae siku akikuacha utakumbuka matukio kama haya na yanaumizaga mno mno.
La muhimu ishi nao easy not to the maximum.
Toka enzi na enzi za wazee wetu walikuwa na michepuko eti sisi tuliozaliwa juzi tunakuja na ukisasa na kujifanya tunabadili kila tulichokikuta mwisho wa siku tunatembea njian huku tukiongea peke yetu na baadhi kufa mapema sabab ya ndoa.
We live once, ukichagua chungu ujue ndo imetoka tamu unayosubir utaiona huko tunakokufa
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£I met a girl one day akanipongeza sana kuwa ameenjoy na hajawa feeling good before me, nikamwambia why baby, akasema yaan wengine wanamsumbua tu na kumchafua bila reason, since yet the girl finds me on her phone but am busy with the upcoming wife.
Nyinyi mpotosheni mwenzenu tu afilisike.Siku unatoka mtoko unampeleka hata kahotel kazuri mnalala huko. Outing zinasaidia sana shida jamaa anamwacha wife home tu[emoji23][emoji23]
Usije ukapotoshwa mtumishi!Hotel, kwa sasa uchumi hauruhusu
Unamcheka badala ya kumpa ushauri muruaπ€£π π π
Hahaha mbali na kikiristo nilikuwa namfanya anasikia kama yupo na mzungu zile ooh ghoshiiiii! come on baby gal can i touch ur boobs slightly with lips, inshort alienjoy moment fulani, mara little glass of wine. ππππnavile natokea pande za Kili town akasurrender show.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
I doubt it. Au labda kwa kuwa unapiga kikristo kimesimama mkuu
Carleen