Ndiyo unatakiwa udadavue kwa mifano kuntu ili mtu ajue nini tofauti kati ya
1. Tendo la ndoa na ngono
2. Mcheza X na mtu aliyeoa
Asante na Pasaka Njema kwako pia
With all that Mr. R Mbuna how did you reached the point mpaka sasa huteseki mbususu as it was in last time uvokuwa unanyimwa, kwanza type of woman matters.@mr increase kama una assume hivyo for me , you are wrong.
Environmental sometimes has nothing to do with sexual desires.
Mazingira ya kwangu ni mazuri kuliko chumba cha landmark hotel but who has the duty to maintain the cleanliness of the room.
We have two maids ambao wapo home whole day. Lakini bado kulikuwa na excuses zisizokuwa na msingi. Ila kwa sasa I am enjoying the life. Sikumbuki mara ya mwisho kuomba mbususu ni lini. Ila napewa kila wakati.
Hii pia ni kweli, vizawadi vinaleta stimu sana
Kingine sio kila siku kusex home tu, siku nyingine unafanya vacation, hotel at least hayachoshi
Women are full of suprises
We kama huna hela kausha, mbususu utaisikia bombani tuAcheni kuchosha wanaume, daily mna kisa na sababu! Mtu kaacha wanawake woote kakuoa, still kwenye ndoa aendelee kuhangaika daily kutafuta pipi kijiti, chokoleti, sijui magauni hata kama hana hela ili tu apewe papuchi ambayo ameilipia mahali na kuamin angekula had kushiba.
Kwa vile mtu hataka kukupa kei una andaa lak na 70 kumpeleka hotel walau yenye chumba kizuri, mafuta umeweka ya 50,000 vyakula na vinywaji pale ndani 70,000
Just lak 3 imeondoka kwa siku moja kwa kugharamia kei ya mkewe na mkirud nyumban next day anarejea tabia yake.
Mkuu ushauri wangu ni huu
Usitake kumridhisha mwanamke kwa kila atakavyo hutaweza na ni vigeu geu, leo utampa hiki na kile atafurahia sana ipo siku utakuja na hicho hicho ukanuniwa sanaaa.
Pili mwanamke anaeumiza hisia ni yule uliyekuwa unafanya kila atakacho tena muda mwingine zaidi ya uwezo wako, mzaz kijijin umemnyima elf 30 ya shamba ukampa laki mmoja umpendae siku akikuacha utakumbuka matukio kama haya na yanaumizaga mno mno.
La muhimu ishi nao easy not to the maximum.
Toka enzi na enzi za wazee wetu walikuwa na michepuko eti sisi tuliozaliwa juzi tunakuja na ukisasa na kujifanya tunabadili kila tulichokikuta mwisho wa siku tunatembea njian huku tukiongea peke yetu na baadhi kufa mapema sabab ya ndoa.
We live once, ukichagua chungu ujue ndo imetoka tamu unayosubir utaiona huko tunakokufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe nikuulize kwa nn adam hakupewa ila Suleiman alipewa wake 700 [emoji1787][emoji1787]Naona unapenda ngono sana? Unafikiri kwanini Mungu hakumpa Adam mke zaidi ya mmoja? Amri kuu ya ndoa ndiyo inaanzia hapa. Hao wanawake wawili ni kuhalalisha uzinzi na usherati
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Wiki mbili tunalala uchi nakucheki tu? Ikitokea hivyo ujue nakimbiza nje balaa…
Vipipi? Ni vipi hivoo?Muwe mnakula vipipi
Mnaishiwaje hamu ??
Mambo ya wa vijijini sijui hayohapo umeongelea mlio mjini, wa vijijin huko je waende wapi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kama hatojali nimuunganishe na Zaina wa Charambe. Mtoto anato.mbana mpk unaona usiku mfupi hachoki na akunyimi ni full mauno ya uzazi mpk uombe poo mwenyewe. Me nilikimbia shoo, ya nini nifie kiunoniTulikwambiaga ni swala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia [emoji74]
Wengi tu so nakuwa sina limited supply of papuchiWe una wangapi?
MmmhYes
Wanawake wengi tuko hivo, mi mwenyewe napenda tukifanya leo, tusubirie mpaka at least week mbili ndo tunado
Ya kila siku inatia kichefuchefu
Mzee una week ngapi hujaonja????[emoji23][emoji23]Daaa wakuu hz ndoa acha tu nasema acha tu
Wanawake mkuu achana naoo ndoa bila Mchepuko utapata tabu sanaaa...Mkuu fanya mambo yafuatayo kama ulikua hufanyi. Uwe una msapriz na vizawadi mfano unatoka mshemshe unamletea chocolate, bikini, siku unamletea gauni, viatu aisee mbna utapewa Tunda bila kuomba. Kuna sehem utakua unamkosea kaa nae chini mwulize utapata soln, kuchepuka sio dili unaweza chepuka na akili yote ikahamia huko ukasahau familia.
Ngoja nianze kuiweka akili yangu uelekeo huo lolUkishaolewa hutakiwi mnyima mwenzio kwa siku mara moja sio mbayaa etii
Mpe tu mpaka akifiwe
Kuna bodaboda anakusaidia kwa Shem. ChunguzaWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala) , siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2 , nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu .
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka , ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Machakani [emoji269]hapo umeongelea mlio mjini, wa vijijin huko je waende wapi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wanawake wana visa sanaa...!! Yani ukikosa mchepuko mbona kazi unayooo...Kuna bodaboda anakusaidia kwa Shem. Chunguza