Malipo ya mafao yanategemea na mshahara wa mwanachama anayestaafu, hivyo ukienda PPF watakuonesha wanavyokokotoa mafao hadi kupata salio lako, baada ya kukata kodi of course.
Hata hivyo, labda kupitia SSRA (Social Security Regulatory Authority) watasaidia ku-harmonise pension benefits nk; kama utakumbuka SSRA imeanza kazi na juzi juzi tu Mkuu wa Kaya amezindua Bodi ya SSRA na sasa wameanza regulatory role yao, pengine itasaidia kutoa comfort kwa wanachama kwani Pension Entities wako na pesa nyingi sana. Moja ya promise ya SSRS ni kuwa wananchi/wanachama watakuw ahuru kujiunga na Mfuko wowote wa hifadhi ya jamii bila vikwazo wala mikwara yoyote.
Nakushauri nenda kawaone PPF (Members Srvices) utasaidiwa kabla kujaenda mahakamani, unaweza kukwama au kupoteza muda.