Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
Wana JF
Mimi ni mwananchama wa PPF, ninafikiria (na naamini nitaungwa mkono na wanachama wenzangu kwa hili) kuwapeleka mahakamani ili nihamishe michango yangu mahali pengine. Ni wanyonyaji wakubwa, wakati wanalipana mafao ya mamilioni kwa kufanyakazi miaka mitatu, bosi wangu alieanza kuchangia miaka ya 70 (alipata Masters na ACCA 1972 na akastaafu 2008) amelipwa chini ya Milioni 20 na pension yake ya mwezi ni 80,000).
Naomba msaada tafadhali wandugu tuondoe uonevu huu.
Mimi ni mwananchama wa PPF, ninafikiria (na naamini nitaungwa mkono na wanachama wenzangu kwa hili) kuwapeleka mahakamani ili nihamishe michango yangu mahali pengine. Ni wanyonyaji wakubwa, wakati wanalipana mafao ya mamilioni kwa kufanyakazi miaka mitatu, bosi wangu alieanza kuchangia miaka ya 70 (alipata Masters na ACCA 1972 na akastaafu 2008) amelipwa chini ya Milioni 20 na pension yake ya mwezi ni 80,000).
Naomba msaada tafadhali wandugu tuondoe uonevu huu.