Nafikiria kuzitia 10 milioni katika biashara ya Plumbing

saleemu

Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
12
Reaction score
0
Habari zenu wana jamvi. Nina mtaji wa sh 10 milioni za Tanzania nataka niziweke katika hii biashara.

Kiufupi nataka ni deal na pipe, clumbing fiting zote, pamoja na toilet na ceramic items.

Kuhusu maeneo c mabaya kwani shuhuli za ujenzi zinafanyika kwa kasi. Tatizo cjui kama mtaji unaweza kutosha au la manake sina uelewa na hii kitu.

Nawasilisha!
 
Mtaji huo sio mbaya sana inategemea uko maeneo gani, duka ni lako?, au bei ya kupanga ni sh ngapi, mkataba ni wa kulipa miez mingap na mtaji wa vifaa utabak sh ngap baada ya kulipia pango.
Unajua vifaa na bei zake?
 
Khs duka ni lngu mwenyewe ama khs ayo mengine bdo naendelea na uchunguz@ mr Jambilo
 
Uko mkoa gan mkuu, kwn biashara ya plumbing materials lazima uwajue wahitji
 


Katika biashara ni hatari sana kuwekeza kwenye mradi mmoja (Concentration Risk) kwani ukipata hasara basi umepoteza kila kitu. Ni muhimu sana kupanga kuyaweka mayai yako kwenye makapu tofauti ili kapu moja likioza kwa sababu yai moja limeoza ndani ya kapu hilo basi makapu mengine yasalimike na hivyo kukuwezesha kuendelea na biashara yako (Diversification).

Kama unafikiria diversification basi ushauri wangu ni kufikiria mradi wa Rifaro kwani vyanzo vyake vya hasara (Risk Profile) vinatofautiana sana na biashara za kawaida tulizozizoea na hivyo itakusaidia ku diversify risk ya kuwekeza kwenye miradi ambayo ina risks zinazoshabihiana.

Toa TZS 128,500 tu kwenye hizo hela zako uwekeze kwenye mradi wa Rifaro zilizobaki wekeza kwenye mradi utakaoamua kuufanya.

Kwa maelezo ya kina kwa nini uwekeze kwenye mradi wa Rifaro soma thread hii hapa

Kwa nini utumie simu yako ya mkononi bila kulipwa wakati kuna Rifaro?
 
BORING, yaani kila post una copy na kupaste huyu KIFARO,we vipi lakiniiii
 
Wekeza kama milion 7 kwenye huo mradi wako. The rest utawekeza pale utakapopewa tenda ya kufanya plumbing nyumba nzima.

Na pia weka duka lako kwenye concentration ya maduka ya vifaa vya ujenzi.

Watu wa plumbing mara nyingi wanapata deals za kufit nyumba nzima.

Usisahau kutoa consultation services manake hizo ndo zitakazokupa deals.
 
BORING, yaani kila post una copy na kupaste huyu KIFARO,we vipi lakiniiii

Umeshasema kila post hivyo ni posts tofauti na mada hii inazihusu posts zote nilizoweka huu ushauri wangu.

Kama una hoja ya kupinga ushauri wangu karibu tujibizane kwa hoja. Vinginevyo subiri 20th March 2016 ukapige kura.
 
hawa rifaro ni matapeli tu kulazimisha watu wawafanyie biashara zao wao wanufaike..

hawa ndio kina gnld na alovera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…