KOROSHO UFUTA
Member
- May 11, 2017
- 59
- 91
Kwani unatokea nchi gani? Kama unatokea Taifa la Tanganyika, wewe nenda tu. Watakupokea kwa mikono miwili na kukuonesha Hotel ya hadhi yako maana hivyo visiwa vya Zanzibar ni Makoloni yetu tangu 26/04/1964.
Tuliwadanganyia kitu kinachoitwa 'Muungano'
Daaah!!! hii inafikirisha sana. Inachomachoma na Inaumiza. Ila kwa mbaliiiii!!!! Kuna chembechembe za Ukw...