Nafikiria Ni wakati wa kuongezwa kwa mshahara ya watumishi

Nafikiria Ni wakati wa kuongezwa kwa mshahara ya watumishi

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Kulingana na kuongezeka kwa Bei za bidhaa muhimu Ni vyema sasa kuwepo na mpango wa kuwaongezea watumishi mishahara yao kwa kuwa Bei za bidhaa zimepanda mno,vinginevyo Hali haitakuwa njema huko tuendako just fikiria
Haraka haraka Bei ya mchele ilikuwa 1500/ lakini sasa hivi Ni 3000-3500 na hatuoni dalili zozote za Bei kupungua ,lakini pia bidhaa znyingine Kama unga ,Kodi ya pango,na maharage Ni Kama zimedouble Mara mbili.mfano mtu anayepokea 440000 Ni vigumu sana kwa sasa hivi kumudu gharama za maisha,lakini bado Kuna hata wengine wapo chini ya hapo,
 
Hapo hapo na pensheni unastaafu unapewa kiduchu,

kwa ufupi usipokuwa makin unaweza usijenge hata chumba

Mshahara wote unaishia kwenye kununua chakula, mavazi, kulipa kodi na kusaidia ndugu,

Naunga mkono hoja waongezwe

Ila wakiongezwa kama mwaka Jana 8000 au 20000 ni hatari hakuna watakachosaidika
 
Nashauri watumishi wa umma wajiongeze kuwa na vyanzo vingi vya kiuchumi. Pia watumie ofisi za umma vzr kujinufaisha. Uzalendo ni danganya toto katika nchi hii.
Kabisa
 
Mkuu badala ya kutegemea serikali au mtu binafsi akuboreshee maisha yako ??,

Ni kheri uongeze juhudi na maarifa katika kuchonga njia yako mwenyewe ya mafanikio.

Wengi tunaogopa kuanza upya kisa tunaona tutaanguka au kudhalilika pasipo kujua hakuna kitu chepesi hapa duniani.

Kikubwa jipange na utambue strength na weakness zako
Kuna mtu alisema "if I had 8 hours to cut a tree, i will use 6 hours to sharpen my axe 💪
 
Back
Top Bottom