HAWA AMEWATOA SADAKA ...BAADA YA AIBU YA WABUNGE 100% LAKINI HAISAIDII....TAARIFA ZA UHAKIKA NI KUWA KWENYE VITUO VINGI VILIVYOHESABU KURA KIHALALI KABLA YA AMRI YA KUJAZA KURA BANDIA HATA BILA KUHESABU ....jpm alikuwa ameachwa mbali sana ....sana , kuna baadhi ya sehemu chache walihesabu kura angalieni nao mtaona range ya matokeo ambayo ilikuwa ni predictive ya matokeo halisi baada ya huo muelekeo na kuonekana maeneo mengi kura bandia zilishindwa kuchomekwa kwakua zilikamatwa ., waliopewa kushindwa kazi na ikiwemo sehemu nyingine baadhi ya askari na wasimamizi wengine kuvujisha siri kwa wananchi IKATOKA amri kuwa hakuna tena kuhesabu bali ...maafisa walioandaliwa walipewa maelekezo ya kujaza matokeo ya kupika katika hali ya panic ...hii imesababisha maeneo mengi kura kuwa nyingi mara dufu ya watu waliojiandikisha kwenye eneo husika .......na asilimia kuzidi ..
HII IMEKUWA AIBU AMBAYO HATA WANA CCM ASILI INAWAUMA NA WANAONA AIBU KWA HAYA MATOKEO
Hili ndio tatizo kuu la wanamageuzi humu jf na kwenye mitandao mingine.
1. Dharau. Acheni dharau na kufikiri ninyi ni bora kwenye kufikiri kuliko wengine na kudhani mawazo yenu ndo bora kuliko ya wengine hasa ya wana CCM.
2. Ujuaji. Hii kitu inawamaliza sana, acheni kujifanya mnajua sana wakati hamjui...
3. Jazba. Hili tatizo sijui linasababishwa na nini? We msikilize mwanaccm akiongea afu msikilize mwanamageuzi akiongea, utaona tofauti. Unamfokea nani? Hata kama unaeleza jambo la msingi, kama unafoka hakuna hatakae kuelewa.
4. Siasa na Harakati.....hapa wanamageuzi ndo mmefeli kabisa..huwezi kuleta uhanarakati kwenye siasa ukafanikiwa, kila siku utapigwa kwenye chaguzi.
5. Vitu na Watu.......hapa mlichemsha mapema sana, MTU hawezi kuendelea kama VITU havijaendelea...ili watu waendelee kwenye afya,ni lazima vitu kama hospitals na vifaa tiba ndo vianze kuendelea kabla ya mgonjwa. Ili mkulima aendelee ni lazima barabara iendelee kwanza.
5. Misingi.....tofauti kubwa kati ya CCM na vyama vingine ni misingi ya vyama vyao....CCM ina misingi imara kuanzia ngazi ya shina hadi taifa wakati huku kwingine ni shida....hata uongozi ngazi ya Mkoa hakuna.
6. Sera ya Majimbo....the biggest ever blunder once made by opposition side particularly Chadema, mindsets ya watanzania ipo wazi, Sera ya majimbo ni kujitenga na wao wamezoea umoja kupitia ujamaa...lazima uanguke.
7. Solidarity....hakuna umoja kati yao, wapo kimaslahi,kuing'oa CCM madarakani ni long term process, huwezi ukatoka zako huko Ubelgiji afu uing'oe CCM over a night...impossible.
8.Ukawa....we jiulize,kwanini ukawa ulikufa? Kwanini usiendelee na mwaka huu..wagombea 14 Wa upinzani against CCM wote hao Wa nini? Mnamchanganya mpiga kura, at the end anaamua kubaki na zimwi lake.
9. ACT Conflict.....unajiuliza why ACT waligombana,tena hadharani..Zitto na Maalim Seif against Member wakati wiki Mbili nyuma walimpamba maua? Wapinzani hawaaminiki.
10. Legends Wa Vyama......kwenye kampeni ni muhimu sana kuwashirikisha legends Wa vyama...Lissu kaenda moshi lakini Mzee mtei hakwenda...even Mbowe himself, chairman he didn't show up......nyie mnadhani ni issue ndogo lakini ina impact kubwa sana.
11. CCM ilijipanga......hapa ndipo upinzani ulimozikwa,this time CCM ilijipanga mno kupita Maelezo....chukua mfano Wa jimbo la Iringa mjini...watia nia wote akiwemo Steve Nyerere walishiriki kikamilifu kumpigia kampeni Jesca. Siku zote Msigwa alikuwa anashinda kwa msaada Wa wanaccm mwenyewe, CCM waliitilafiana wenyewe kwa wenyewe na Msigwa anafaidika,this time CCM walishikamana kupita maelezo.
Upinzani umeanguka lakini mnaweza mkasimama upya,though will take time probably 20yrs from now.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.