Nafikiria usaliti waliofanyiwa 'Hawa Ghasia na Kessy', hawa watu wawekwe chini ya uangalizi maalum wasije kujidhuru

Serikali ya ccm ina nafasi nyingi za kula bata na kufurahia maisha tutawapangia nafasi nyingine
Hilo ni la kweli, kwa wateule wachache ambao ni 0.00001% wanashangilia ushindi wa kijambazi kwakuwa wana jua wana nemeka na mfumo!! Lakini kuna wale ambao, wanatumika tu kwa hao wachache, kuiba kura, kudhuru wengine eti ccm kindakindaki, hata kula yao kwa siku ni mtihani, ndio wakuonea huruma!! Leo bila kujua anashabikia bunge kuwa la chama kimoja!!!
 
Wata move on tuu... Ni kawaida sana...

Kama ni hivyo basi angepagawa Wasira...



Cc: mahondaw
 
ongeza 12. KUTOJIFUNZA NAMNA YA KUIBA KURA ....KWANI HUWEZI KUSHINDA BILA UJANJA UJANJA NA WIZI
 
Mshaanza sana watoto wa mjini na kasumba za hooo huyu kitengo. Kila mtu mjanja au aliyezurumiwa ni kitengo ausio, Watoto wa mjini mnachosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…