Nafsi ya Joh Makini imeshindwa kukubaliana na ukweli Mchungu kuhusu mapokezi duni ya wimbo wake mpya uitwao "Bobea"

Una tafuta basha siyo bure, soma kuanzia mwanzo kama una akili hata za kuvukia barabara tu utaelewa nani ugomvi?

Au wewe unataka kutatuliwa? Stupid (in Samia voice)
Watu wote wenye akili timamu angalia komenti zao namna zilivyo za hoja!.

Wewe na Utahira wako umekurupuka kutoka chooni na Dr yako ya kuokota jararani umeamua kuja kujivua nguo kwa kuuweka ujinga wako hadharani!
 
Nimekushauri ujenge hoja wewe badala yake unanitukana na mimi,hivi kweli kichwani uko timamu?
Achana nae huyo mkuu ana frustration za maisha zinamsumbua anakuja jf kumalizia kwenye threads za watu
 
Tafuta hela mkuu. U seem to be so desperate
Mataahira kama wewe ndio wanadhani kila mtu ana shida ya pesa.

Mimi sina shida ya pesa, Nina vipaumbele vingine kabisa hakuna mtu hasiye na pesa tunazidiana viwango tu.
 
Lamli Chonganishi hizo mkuu.
Nguvu za ziada zipoje mkuu🙄.
Naona kama umejaribu kimsifia kuwa wimbo ni mzuri.
Kama wimbo ni mzuri umekubali maneno mengine ya nn,na ndo maana mnaanza kuraruwana na PhD.

Maelezo yako ndo mtazamo wako,ila umejaribu kuwaaminisha watu wote kuwa imebuma,irihali sio kweli mkuu.

Ni haki yake kuumpromote,maana yeye ndo anajua afanye Nini mkuu.

Kazi ni yake,hivyo anajua wnachokifanya.Swala la kuanza kuleta Lamli mkuu sio poa.
 
Tatizo amekaa kimya kwa muda mrefu.
Ametoka/amepotea masikioni mwa mashabiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…