Nafuatilia wananchi wanaotoa maoni Dira ya Maendeleo, najiuliza ni nani aliyeturoga Watanzania?

Nafuatilia wananchi wanaotoa maoni Dira ya Maendeleo, najiuliza ni nani aliyeturoga Watanzania?

Siku ukiamka usingizini ndio utafahamu kwanini watu wapo jinsi walivyo na wanaishi hivyo. Watu wapo kwenye usingizi mzito na hawajui kwamba wamelala hawajitambui.

KUJITAMBUA NDIO UAMSHO WAKO.
 
Mimi akili ninazo ,nikupe pole wewe ambae huna

1722758526940.jpg
 
Aisee Kuna namna yawezekana hili Taifa tulimkosea chief Bulito na uenda hata Nyerere kabla ya kufa aliacha laana kwenye hili Taifa,Benjaminj Mkapa alipaswa atueleze ukweli uenda alikuwa anajua ila akakausha kila mtu afe kivyake!
Kwa maneno hayo ni dhahiri wewe tayari umekuwa zumbukuku tena yule aliyepitiliza kupita hao unaowasema, Bulito na Nyerere wako ni nani hadi eti watuachie laana! Ni kweli Nyerere alikuwa kiongozi wa Watanzania lakini hana uwezo wa kuwaachia laana Watanzania kwa sababu Watanzania siyo wanawe wala wajukuu zake labda huko kwenu na machawa wenzako mnaomsujudia na kumuabudu binadamu mwenzenu.
 
[emoji24][emoji24][emoji24]Moyo wang umenium san
nimetaman mfumo wa
Rais wa rwanda alisem
ambae ni mtumish lazim awe na degree ila pia kanis lisajiliwe labda wangepungua na wangekua wanatozwa kodi
TUJENGE TAIFA
 
Kwa maneno hayo ni dhahiri wewe tayari umekuwa zumbukuku tena yule aliyepitiliza kupita hao unaowasema,Bulito na Nyerere wako ni nani hadi eti watuachie laana! Ni kweli alikuwa kiongozi wa Watanzania lakini hana uwezo wa kuwaachia laaana Watanzania kwa sababu Watanzania siyo wanawe wala wajukuu zake labda huko kwenu na machawa wenzako mnaomsujudia na kumuabudu binadamu mwenzenu.
Username yako tu inasadifu wewe utakuwa mtu wa namna gani!

ZWAZWA
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Nawalaumu sana wazazi wangu na Mimi mwenyewe kutozaliwa/kuzaa nje ya Tanzania!

Sababu ya kwanza ni kwamba,hivi mzee wangu kweli alishindwa kupiga Swaga mwanamke yeyote wa Kikenya hadi azae Tanzania?,Ukizingatia kwetu hapo Tarime mjini hadi Sirari ulipo mpaka wa Kenya ni pua na Mdomo,napataga tu stori kwamba mzee wangu alikuwa na mademu lukuki wa Kikenya lakini ajabu hakuwahi hata kuzaa nao,uenda angezaa na hao mademu wa enzi zake Sasa hivi ningekuwa Mkenya nabonga zangu Ung'eng'e ulionyooka siyo kama huu wa kuunga unga ambao hata kuuongea hadi nikaze misuli ya makalio!

Pili,Upuuzi/Ujinga ambao na Mimi nimeufanya na nimekuja kushituka miaka ya hivi karibuni,ni kuzaa na mwanamke wa Kitanzania,Aisee hii kitu inaniumiza sana na najua wanangu pia watakuja kunilaumu sana kama ambavyo Mimi namlaumu Dingi!
Kiukweli Hawa watoto wangu wawili wananitosha kabisa,na siku Nilitaka watoto wengine nitajitahidi nisizae na mwanamke wa Kitanzania,Lengo langu ni hadi kufikia Mwaka 2030 nisiwe hapa nchini,napambana kutafuta pesa nisepe maana nikiendelea kukaa hapa nitashawishika na wanawake wenye Vyungu vikubwa hatimaye utashangaa nazama kuchota maji matokeo yake ni "Mbembeleze huyo mtoto"

Sababu ya Mimi kufanya hivyo ni kutotaka kuwarithisha wanangu huu ujinga/uzumbukuku wa wananchi wa hii nchi!,Unaweza kuzaa mtoto mwenye akili lakini kama atasoma na kuzungukwa na mazumbukuku ni lazima na yeye atakuwa Zumbukuku tu!

Kilichofanya ndugu zangu kuandika huu Uzi Kwa Uchungu ni namna ambavyo nafuatilia wananchi ambavyo wanaendelea kutoa maoni kwenye huo mpango wa Serikali uitwao "DIRA YA MAENDELEO" .Yaani kiukweli unawasikiliza Watanzania namna wanavyotoa maoni hadi najiuliza ni nani aliyeturoga Watanzania?,Hivi kweli suala la Watoto kuimba nyimbo za Zuchu ni la kwenda kusimama mbele ya hiyo kamati na kuliwasilisha kama hoja ya dira ya Maendeleo?kweli?,Hivi ni wapi tulikosea kama Taifa?

Yaani badala wananchi watoe mapendekezo konki ambayo yatalisaidia Taifa kupiga hatua za Kimaendeleo wao wanaleta hoja za Kijuha!,Aisee nimesikitika sana dadeeeeki!

Kuna mwengine nadhani ni kiongozi wa dini,yeye kapendekeza kabisa ya kwamba Viongozi wa dini walipwe mshahara kila mwezi Tsh 900,000/=,Nilitegemea huyo kiongozi wa dini angekuja na hoja ya kwamba,maslahi yaboreshwe Kwa Madaktari,walimu na watumishi wengine Ili kuleta uwiano uliobora katika kada za watumishi lakini yeye anakuja na hoja kijinga,Viongozi wa dini pamoja na kiwalaghai Watanzania Hawa mazumbukuku Kwa kujipatia fedha nyingi lakini bado hawatosheki!,Nilitegemea angejenga hoja ya kwamba,watumishi wote wa kidini walipe Kodi na ushuru mkubwa badala yake anakuja na hoja za kizumbukuku!

Aisee Kuna namna yawezekana hili Taifa tulimkosea chief Bulito na uenda hata Nyerere kabla ya kufa aliacha laana kwenye hili Taifa,Benjaminj Mkapa alipaswa atueleze ukweli uenda alikuwa anajua ila akakausha kila mtu afe kivyake!

Kinachonitesa ndugu zangu Mimi Nina akili nyingi mno nadhani hadi zinakaribia kumwagika,Sasa kukaa katikati ya mazumbukuku na akili zangu nyingi napata taabu sana!,Kungekuwa na uwezekano wa kuwagawia akili baadhi ya watanzania ningefanya hivyo lakini haiwezekani!
Mkuu uko roght

Wahi hospitali laana wewe ndio kibarua kabisa wa ukichaa

Hata uliyoandika yanatisha…. Unastahili kuwa mirembe full time
 
[emoji24][emoji24][emoji24]Moyo wang umenium san
nimetaman mfumo wa
Rais wa rwanda alisem
ambae ni mtumish lazim awe na degree ila pia kanis lisajiliwe labda wangepungua na wangekua wanatozwa kodi
TUJENGE TAIFA
Kabisa mkuu
 
Hii nchi kweli ina raia wengi wa sampuli nyingi wa ajabu sana, hakuna namna ni kuendelea kuvumiliana tu.
 
Mkuu uko roght

Wahi hospitali laana wewe ndio kibarua kabisa wa ukichaa

Hata uliyoandika yanatisha…. Unastahili kuwa mirembe full time
Dalili moja wapo ya kutokuwa na Akili ni kutoelewa nyuzi za UMUGHAKA
 
Hii nchi kweli ina raia wengi wa sampuli nyingi wa ajabu sana, hakuna namna ni kuendelea kuvumiliana tu.
Mkuu wanaopata taabu ni Watanzania wenye akili timamu nikiwemo Mimi!,Mazumbukuku yenyewe yanaona kawaida tu na yanaendelea kufurahia maisha!
 
Kinachonitesa ndugu zangu Mimi Nina akili nyingi mno nadhani hadi zinakaribia kumwagika,Sasa kukaa katikati ya mazumbukuku na akili zangu nyingi napata taabu sana!,Kungekuwa na uwezekano wa kuwagawia akili baadhi ya watanzania ningefanya hivyo lakini haiwezekani!

Huu ni mtazamo wa raia kadhaa mkuu, sio wewe pekee...
 
Ni kweli sometime unakuta mtu anahangaika na life lako anakuchukia bila sababu unajiuliza huyu akili yake iko wapi mbona angepambana tu maisha yangenyoka.
 
Back
Top Bottom