Coach Jerry
New Member
- Apr 13, 2021
- 3
- 3
Habari ndugu zangu, mm ni kijana ambaye nimesomea kozi mbali mbali za ukocha japo level yangu siyo kubwa sana lakini namshukuru Mungu kwa hapa nilipofika.
Kwa sasa nafundisha watoto kuanzia miaka 5-16 wa jinsia zote kwa zaidi ya miaka 5 sasa.
Kama kuna swali, maoni, ushauri karibuni.
link hiyo hapo kama unataka kuona baadhi ya kazi zangu ambazo nimewahi kufanya huko nyuma
Asanteni sana
Kwa sasa nafundisha watoto kuanzia miaka 5-16 wa jinsia zote kwa zaidi ya miaka 5 sasa.
Kama kuna swali, maoni, ushauri karibuni.
link hiyo hapo kama unataka kuona baadhi ya kazi zangu ambazo nimewahi kufanya huko nyuma
Asanteni sana