alpha walk
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 215
- 206
- Thread starter
-
- #21
hahaha ntaweka mkuuWeka location mkuu,nina hobby ya kuonjaonja misosi kwenye migahawa tofauti.
uko sahihi lkn cdhan kama kuna tatizoHilo tangazo ilitakiwa liwe la kutukaribisha, mipango na utekelezaji ni mambo mawili tofauti
amen amenKila la kheri
hamna shida mkuuUsisite kunicheki kama utahitaji business structure pindi ukikwama mkuu.
Kuna jamaa anaitwa Shishi anatengeneza chips mayai, kuku na mishikaki maeneo ya Tabata Chang'ombe pale Mwembeni, Yaani hata iwe saa 7 usiku unapata huduma. Halafu wanawake na wadada wanazipenda chips zake tu. Utadhani amewaloga.Muunge na shishi bby
hakuna shida dada mtuhongera sana ukitaka usajili wa jina lako la biashara, tin cerrtificate na leseni niione nafanya huduma hizo
shukran sana
amenKila lenye heri
Nina eneo goba ready for use, njoo ulione. nicheki DM if interestedHabari wanajamvi,
Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo City tutakuwa tunauza mihogo ya kukaanga na nyama za kukaanga, samaki n.k(kama hivyo kwenye picha).
Natarajia nikiwa tayari nitapata wateja kutoka humu
View attachment 2488661
hamna shida mkuuHongera kwa wazo mkuu, ukitaka Logo, au posters kali kwaajili ya ku promote biashara yako ya mihogo PM yang iko wazi mkuu, ntakufanyia kwa bei nzuri sababu we ni jf member mwenzang!.
sawasawa asante kwa ushauri mzuriMafuta myabadilishe, msisubiri yaishe
kila laheli kazi ya chakula aimtupi mtu kwani kula lazima kuoga hiyali lamuhimu uza chakula kwabei inayo endana na wateja wakoHabari wanajamvi,
Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo City tutakuwa tunauza mihogo ya kukaanga na nyama za kukaanga, samaki n.k(kama hivyo kwenye picha).
Natarajia nikiwa tayari nitapata wateja kutoka humu.
View attachment 2488661