Nafungua mgahawa

Nafungua mgahawa

Muunge na shishi bby
Kuna jamaa anaitwa Shishi anatengeneza chips mayai, kuku na mishikaki maeneo ya Tabata Chang'ombe pale Mwembeni, Yaani hata iwe saa 7 usiku unapata huduma. Halafu wanawake na wadada wanazipenda chips zake tu. Utadhani amewaloga.
 
Habari wanajamvi,

Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo City tutakuwa tunauza mihogo ya kukaanga na nyama za kukaanga, samaki n.k(kama hivyo kwenye picha).

Natarajia nikiwa tayari nitapata wateja kutoka humu

View attachment 2488661
Nina eneo goba ready for use, njoo ulione. nicheki DM if interested
 
Hongera kwa wazo mkuu, ukitaka Logo, au posters kali kwaajili ya ku promote biashara yako ya mihogo PM yang iko wazi mkuu, ntakufanyia kwa bei nzuri sababu we ni jf member mwenzang!.
 
Habari wanajamvi,

Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo City tutakuwa tunauza mihogo ya kukaanga na nyama za kukaanga, samaki n.k(kama hivyo kwenye picha).

Natarajia nikiwa tayari nitapata wateja kutoka humu.

View attachment 2488661
kila laheli kazi ya chakula aimtupi mtu kwani kula lazima kuoga hiyali lamuhimu uza chakula kwabei inayo endana na wateja wako
 
Back
Top Bottom