alpha walk
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 215
- 206
Habari wanajamvi,
Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo City tutakuwa tunauza mihogo ya kukaanga na nyama za kukaanga, samaki n.k(kama hivyo kwenye picha).
Natarajia nikiwa tayari nitapata wateja kutoka humu.
Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo City tutakuwa tunauza mihogo ya kukaanga na nyama za kukaanga, samaki n.k(kama hivyo kwenye picha).
Natarajia nikiwa tayari nitapata wateja kutoka humu.