Hello,
Habariza leo wapedwa! Nimatumaini yangu hamjambo na mnaendelea vizuri pamoja na ujenzi wa taifa letu lenye neema ya Rasilimali nyingi na zakutosha, kiasi ya kwamba hatukupaswa kuwa maskini kiasi hiki. Japo nchi zilizoendelea sana wamo na maskini.
Nimekuwa msomaji kiasi flani wa Jf nikivutiwa sana na mada ndani ya yake. Niimani yangu kwamba tecknolojia hii kwa njia ya mtandao tutaweza kupata mengi na kujifunza, Naamini Jf ni mojawapo ya mitandao yakuweza kutupasha habari na kutujuza mustakabali wa Taifa letu na dunia kwa ujumla. Hongera sana wewe,Yule mlioweza kubuni na hatimaye kuazisha jambo zuri (Jamii Forum) ktk jamii yetu na dunia kwa ujumla. God bless you!
Nimeamua kujisajili hapa kuweza kuleta mawazo yetu and change our minds.
Nimatumaini yangu mtanipokea kuwa miongoni na mwanafamilia wa Jf
Nawapenda nyote!
Habariza leo wapedwa! Nimatumaini yangu hamjambo na mnaendelea vizuri pamoja na ujenzi wa taifa letu lenye neema ya Rasilimali nyingi na zakutosha, kiasi ya kwamba hatukupaswa kuwa maskini kiasi hiki. Japo nchi zilizoendelea sana wamo na maskini.
Nimekuwa msomaji kiasi flani wa Jf nikivutiwa sana na mada ndani ya yake. Niimani yangu kwamba tecknolojia hii kwa njia ya mtandao tutaweza kupata mengi na kujifunza, Naamini Jf ni mojawapo ya mitandao yakuweza kutupasha habari na kutujuza mustakabali wa Taifa letu na dunia kwa ujumla. Hongera sana wewe,Yule mlioweza kubuni na hatimaye kuazisha jambo zuri (Jamii Forum) ktk jamii yetu na dunia kwa ujumla. God bless you!
Nimeamua kujisajili hapa kuweza kuleta mawazo yetu and change our minds.
Nimatumaini yangu mtanipokea kuwa miongoni na mwanafamilia wa Jf
Nawapenda nyote!