NAFURAHIA MB ZISIZOISHA

NAFURAHIA MB ZISIZOISHA

GREAT NAME

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
1,078
Reaction score
1,718
Mb 200 tangu najiunga mwezi umeisha haijapungua hata mb moja,nazitumia kwenye nokia yangu ya tochi,fanya ujinga uweke kwenye smartphone hata dakika haiishi zimekata,
kwa ujinga wako umesoma hadi mwisho
 
Mb 200 tangu najiunga mwezi umeisha haijapungua hata mb moja,nazitumia kwenye nokia yangu ya tochi,fanya ujinga uweke kwenye smartphone hata dakika haiishi zimekata,
kwa ujinga wako umesoma hadi mwisho
 
Mb 200 tangu najiunga mwezi umeisha haijapungua hata mb moja,nazitumia kwenye nokia yangu ya tochi,fanya ujinga uweke kwenye smartphone hata dakika haiishi zimekata,
kwa ujinga wako umesoma hadi mwisho
ina android ngapi mkuu maana nokia kama hizo za tochi zenye android 7.0 zinamaliza mb hadi kero
 
ungeingia xvid mb's zingesepa knoma kweny hch kimeo chako
 
Ndiyo hiyo simu unaitumia kuingia jf?mkuu

Kumraz nilisoma nipate kujua maajabu ya baundle kumbe ni hopeless aisee.
 
Back
Top Bottom