Nafuu ya Maisha kwa Wananchi ni Bora zaidi kuliko picha za Kumbukumbu

Nafuu ya Maisha kwa Wananchi ni Bora zaidi kuliko picha za Kumbukumbu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tunawakumbusha viongozi wetu kwamba, shida kubwa ya Watanzania ni Ugumu wa Maisha unaosababishwa na kuanguka kwa Uchumi na ukosefu wa ajira.

Screenshot_2024-08-06-21-09-46-1.png

Kupiga picha na watu wenye njaa wanaotaabika kwenye kila jambo, achilia mbali kwamba ni kejeli lakini pia haikubaliki mbele za Mungu, kukusanya Masikini na kuwapiga picha ya kumbukumbu ni dhambi, kwanza unataka kuwakumbuka kwa lipi?

Tunaamini Kumbukumbu nzuri ingekuwa kuhakikisha watu hao wanaishi kwa furaha kwenye Maeneo yao ya asili bila kuwaswaga na kuwauzia Wageni, kuzalisha ajira mpya, nyongeza za mishahara, kuhakikisha bei za bidhaa zinadhibitiwa ikiwemo kuondoa Tozo kandamizi.
 
Naona Ma CHADEMA mmechanganyikiwa sana na mafuriko ya watu walio miliomiminika na kufurika kama mchanga wa baharini huko mkoani Morogoro.Hizo ni mvua za rasha rasha tu. Mwaka huu msipokaa karibu na madaktari wa magonjwa ya moyo lazima mtakutwa mmekufa kwa presha.
 
Usishindane na aliye pewa kibali na Mungu.usishindane na Chaguo la Mungu. Usishindane na aliyepewa baraka na Mungu. Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliyepewa baraka zote na Mungu
Screenshot_20240805-224054_1.jpg
Screenshot_20240802-154701_1.jpg
 
We ukiachwa peke yako muda mrefu utajinyonga haki ya nani, unayachukulia maisha very seriously wakati maisha in hadithi tu... Take it easy, take your time, enjoy your moments... Hayo ya Samoa sijui Samia achana nayo, space yake na hao waliomfuata kupiga nae picha... Hujalazimishwa hata kuiona hiyo picha... Delete kabisa hata usipost... Vunga la mama, mwenzio ndio anaishi hivyo...
 
Naona Ma CHADEMA mmechanganyikiwa sana na mafuriko ya watu walio miliomiminika na kufurika kama mchanga wa baharini huko mkoani Morogoro.Hizo ni mvua za rasha rasha tu. Mwaka huu msipokaa karibu na madaktari wa magonjwa ya moyo lazima mtakutwa mmekufa kwa presha.View attachment 3063284
Hadi hospitali zimefungwa leo
 
Naona Ma CHADEMA mmechanganyikiwa sana na mafuriko ya watu walio miliomiminika na kufurika kama mchanga wa baharini huko mkoani Morogoro.Hizo ni mvua za rasha rasha tu. Mwaka huu msipokaa karibu na madaktari wa magonjwa ya moyo lazima mtakutwa mmekufa kwa presha.View attachment 3063284
𝑷𝒊𝒄𝒉𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒃𝒐𝒘𝒆 𝒖𝒔𝒉𝒂𝒊𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒂𝒖 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒘𝒂𝒊𝒕𝒂𝒇𝒖𝒕𝒂
 
We ukiachwa peke yako muda mrefu utajinyonga haki ya nani, unayachulia maisha very seriously wakati maisha in hadithi tu... Take it easy, take your time, enjoy your moments... Hayo ya Samoa achana na space take na hao waliomfuata kupiga nae pocha... Hujalazimishwa hata kuiona hiyo picha... Delete kabisa hata usipost... Vunga la mama, mwenzio ndio anaishi hivyo...
😂😂😂.......nimecheka sana, mpaka nimeamsha waliolala.!
 
We ukiachwa peke yako muda mrefu utajinyonga haki ya nani, unayachukulia maisha very seriously wakati maisha in hadithi tu... Take it easy, take your time, enjoy your moments... Hayo ya Samoa sijui Samia achana nayo, space yake na hao waliomfuata kupiga nae picha... Hujalazimishwa hata kuiona hiyo picha... Delete kabisa hata usipost... Vunga la mama, mwenzio ndio anaishi hivyo...
Vipi kuhusu hoja yangu pale juu?
 
Furaha, raha, maendeleo, amani, kupendeza, kujivinjari, kuoa, kuolewa, kujenga, kusoma, mpaka kula na kunya hakuna serikali inatoa kwa mtu mmoja moja, hivyo unatafuta mwenyewe serikali ni chachu tu... Nimefuatilia mdaharo wa Trump na Biden nikajifunza kitu kikubwa sana... Wanasiasa wanasehemu yao kwenye ulingo was mifumo duniani, ila pia wao sio final say ya mendeleo na hatua za mmoja mmoja...

Tanzania wanasiasa hawajaruhusu na kukubali Bangi, ila uhalisia upo site, zinavutwa kama sigara... Ukilikoroga umejiroga mwenyewe utadandiwa na mamwela.....same goes kwa vitu Vingi...huku site tuna final say kwenye mambo yetu mengi, umepewa elimu bure ukiona bangi ndio sawa, haya we Vuta, baadae usianze lalamika elimu mbovu wakati wenzio elimu hiyo hiyo wanakula distinction.
 
Usishindane na aliye pewa kibali na Mungu.usishindane na Chaguo la Mungu. Usishindane na aliyepewa baraka na Mungu. Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliyepewa baraka zote na Mungu View attachment 3063288View attachment 3063289
umefanya vyema sana kuwaelimisha weliofura kwa wivu na kujaa gubu mioyoni mwao....

mamlakani za dunia zimetoka kwa Mungu, na Dr.Samia Suluhu Hassan, kiongozi na kipenzi cha waTanzania ni zawadi kwa waTanzania kutoka kwa Mungu, ni ushirikina na utovu wa kimaadili mtu kujawa wivu ati kwasababu rais anachangamana na anafurahia jambo na wanainchi wake🐒
 
Furaha, raha, maendeleo, amani, kupendeza, kujivinjari, kuoa, kuolewa, kujenga, kusoma, mpaka kula na kunya hakuna serikali inatoa kwa mtu mmoja moja...
Ni mfanyakazi yupi wa umma anayeweza kujiongezea mishahara? Haya Rais kapiga Selfie halafu makapuku wanarudi zao Mikese vibanda umiza kulala, Je kuna jipya hapo?
 
Ni mfanyakazi yupi wa umma anayeweza kujiongezea mishahara? Haya Rais kapiga Selfie halafu makapuku wanarudi zao Mikese vibanda umiza kulala, Je kuna jipya hapo?
Kumbuka hata mama alikuwa kapuku wa kulelewa kwa Dada yake kusini huko? Mbowe anaruka na Chopper akiwa Marekani au kwa Makapuku hao hao? Nyani haoni kundule haki ya nani... Told you to do you, and let other do their things... Unless unalipwa kufocus kwenye mambo ya watu otherwise ni bad investment. Take it from me.
 
Kumbuka hata mama alikuwa kapuku wa kulelewa kwa Dada yake kusini huko? Mbowe anaruka na Chopper akiwa Marekani au kwa Makapuku hao hao? Nyani haoni kundule haki ya nani... Told you to do you, and let other do their things... Unless unalipwa kufocus kwenye mambo ya watu otherwise ni bad investment. Take it from me.
Bila shaka umekubali hoja, kumtaja Mbowe asiye Rais wala Waziri ni kuishiwa hoja
 
Bila sqhaka umekubali hoja, kumtaja Mbowe asiye Rais wala Waziri ni kuishiwa hoja
Practice what you preach, contrary to that, its mediocrity of highest order. Mbowe yupo hapo sababu ya Chadema, Ruzuku za serikali, kodi za wananchi, ndio chopper inaruka, nothing personal
 
Practice what you preach, contrary to that, its mediocrity of highest order. Mbowe yupo hapo sababu ya Chadema, Ruzuku za serikali, kodi za wananchi, ndio chopper inaruka, nothing personal
Yaani watetezi wa Samia mnalipwa kibwege sana, wewe ni duni sana hustahili kulipwa yaani
 
Back
Top Bottom