Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Hili ndio tatizo La kumind business za watu, sio kila mtoa maoni yupo kwenye payroll ya wanasiasa... Me I see things black and white... Mfano ushauri niliokupa ni ukweli mtupu, mind your business...Yaani watetezi wa Samia mnalipwa kibwege sana, wewe ni duni sana hustahili kulipwa yaani
Hela za serikali ndio hizo mnakula huko Chadema kupitia pipe ya Ruzuku, sisi tunahustle na bado hatuna kwere... Mama akiibuka anapewa mitano tena aendelee kupave way sie tunajisogeza wenyewe taratibu...unaesubiri kujengewa na serikali, subiri ya Chadema sijui mwakagani? The time is now though.