Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Waleteee kweli atA mwamposa anawatu wake...Naona Ma CHADEMA mmechanganyikiwa sana na mafuriko ya watu walio miliomiminika na kufurika kama mchanga wa baharini huko mkoani Morogoro.Hizo ni mvua za rasha rasha tu. Mwaka huu msipokaa karibu na madaktari wa magonjwa ya moyo lazima mtakutwa mmekufa kwa presha.View attachment 3063284
Hadi hospitali zimefungwa leoNaona Ma CHADEMA mmechanganyikiwa sana na mafuriko ya watu walio miliomiminika na kufurika kama mchanga wa baharini huko mkoani Morogoro.Hizo ni mvua za rasha rasha tu. Mwaka huu msipokaa karibu na madaktari wa magonjwa ya moyo lazima mtakutwa mmekufa kwa presha.View attachment 3063284
𝑷𝒊𝒄𝒉𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒃𝒐𝒘𝒆 𝒖𝒔𝒉𝒂𝒊𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒂𝒖 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒘𝒂𝒊𝒕𝒂𝒇𝒖𝒕𝒂Naona Ma CHADEMA mmechanganyikiwa sana na mafuriko ya watu walio miliomiminika na kufurika kama mchanga wa baharini huko mkoani Morogoro.Hizo ni mvua za rasha rasha tu. Mwaka huu msipokaa karibu na madaktari wa magonjwa ya moyo lazima mtakutwa mmekufa kwa presha.View attachment 3063284
😂😂😂.......nimecheka sana, mpaka nimeamsha waliolala.!We ukiachwa peke yako muda mrefu utajinyonga haki ya nani, unayachulia maisha very seriously wakati maisha in hadithi tu... Take it easy, take your time, enjoy your moments... Hayo ya Samoa achana na space take na hao waliomfuata kupiga nae pocha... Hujalazimishwa hata kuiona hiyo picha... Delete kabisa hata usipost... Vunga la mama, mwenzio ndio anaishi hivyo...
Vipi kuhusu hoja yangu pale juu?We ukiachwa peke yako muda mrefu utajinyonga haki ya nani, unayachukulia maisha very seriously wakati maisha in hadithi tu... Take it easy, take your time, enjoy your moments... Hayo ya Samoa sijui Samia achana nayo, space yake na hao waliomfuata kupiga nae picha... Hujalazimishwa hata kuiona hiyo picha... Delete kabisa hata usipost... Vunga la mama, mwenzio ndio anaishi hivyo...
CHADEMA Lazima mfe mwaka huu .vipi ulikimbilia hospitalini kutibu presha ya mshituko wa mafuriko ya watu wanaomiminika katika mikutano ya Mama?Hadi hospitali zimefungwa leo
umefanya vyema sana kuwaelimisha weliofura kwa wivu na kujaa gubu mioyoni mwao....Usishindane na aliye pewa kibali na Mungu.usishindane na Chaguo la Mungu. Usishindane na aliyepewa baraka na Mungu. Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliyepewa baraka zote na Mungu View attachment 3063288View attachment 3063289
Ni mfanyakazi yupi wa umma anayeweza kujiongezea mishahara? Haya Rais kapiga Selfie halafu makapuku wanarudi zao Mikese vibanda umiza kulala, Je kuna jipya hapo?Furaha, raha, maendeleo, amani, kupendeza, kujivinjari, kuoa, kuolewa, kujenga, kusoma, mpaka kula na kunya hakuna serikali inatoa kwa mtu mmoja moja...
Kumbuka hata mama alikuwa kapuku wa kulelewa kwa Dada yake kusini huko? Mbowe anaruka na Chopper akiwa Marekani au kwa Makapuku hao hao? Nyani haoni kundule haki ya nani... Told you to do you, and let other do their things... Unless unalipwa kufocus kwenye mambo ya watu otherwise ni bad investment. Take it from me.Ni mfanyakazi yupi wa umma anayeweza kujiongezea mishahara? Haya Rais kapiga Selfie halafu makapuku wanarudi zao Mikese vibanda umiza kulala, Je kuna jipya hapo?
Bila shaka umekubali hoja, kumtaja Mbowe asiye Rais wala Waziri ni kuishiwa hojaKumbuka hata mama alikuwa kapuku wa kulelewa kwa Dada yake kusini huko? Mbowe anaruka na Chopper akiwa Marekani au kwa Makapuku hao hao? Nyani haoni kundule haki ya nani... Told you to do you, and let other do their things... Unless unalipwa kufocus kwenye mambo ya watu otherwise ni bad investment. Take it from me.
Practice what you preach, contrary to that, its mediocrity of highest order. Mbowe yupo hapo sababu ya Chadema, Ruzuku za serikali, kodi za wananchi, ndio chopper inaruka, nothing personalBila sqhaka umekubali hoja, kumtaja Mbowe asiye Rais wala Waziri ni kuishiwa hoja
Over 90% wanaonekana ni watoto ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura. Ile barua ya wito kwa maafisa elimu Moro inahusikaUsishindane na aliye pewa kibali na Mungu.usishindane na Chaguo la Mungu. Usishindane na aliyepewa baraka na Mungu. Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliyepewa baraka zote na Mungu View attachment 3063288View attachment 3063289
Over 90% wanaonekana ni watoto ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura. Ile barua ya wito kwa maafisa elimu Moro inahusika
Yaani watetezi wa Samia mnalipwa kibwege sana, wewe ni duni sana hustahili kulipwa yaaniPractice what you preach, contrary to that, its mediocrity of highest order. Mbowe yupo hapo sababu ya Chadema, Ruzuku za serikali, kodi za wananchi, ndio chopper inaruka, nothing personal