Nafuu ya Maisha kwa Wananchi ni Bora zaidi kuliko picha za Kumbukumbu

Yaani watetezi wa Samia mnalipwa kibwege sana, wewe ni duni sana hustahili kulipwa yaani
Hili ndio tatizo La kumind business za watu, sio kila mtoa maoni yupo kwenye payroll ya wanasiasa... Me I see things black and white... Mfano ushauri niliokupa ni ukweli mtupu, mind your business...

Hela za serikali ndio hizo mnakula huko Chadema kupitia pipe ya Ruzuku, sisi tunahustle na bado hatuna kwere... Mama akiibuka anapewa mitano tena aendelee kupave way sie tunajisogeza wenyewe taratibu...unaesubiri kujengewa na serikali, subiri ya Chadema sijui mwakagani? The time is now though.
 
Wewe kila siku unasifia manyomi ya ufipa sijui huwa wanagawiwa mchele wacha watu wapiga mapicha na mpendwa wao njaa haijawahi zuia mwanga wa flash!
 
Wewe kila siku unasifia manyomi ya ufipa sijui huwa wanagawiwa mchele wacha watu wapiga mapicha na mpendwa wao njaa haijawahi zuia mwanga wa flash!

Wewe kila siku unasifia manyomi ya ufipa sijui huwa wanagawiwa mchele wacha watu wapiga mapicha na mpendwa wao njaa haijawahi zuia mwanga wa flash!
Tunakushukuru kwamba umekiri njaa kwa Watanzania
 
Ila hii Nchi hii πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…