Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Hili ndio tatizo La kumind business za watu, sio kila mtoa maoni yupo kwenye payroll ya wanasiasa... Me I see things black and white... Mfano ushauri niliokupa ni ukweli mtupu, mind your business...Yaani watetezi wa Samia mnalipwa kibwege sana, wewe ni duni sana hustahili kulipwa yaani
Poor chawa mzee wa kuforceUsishindane na aliye pewa kibali na Mungu.usishindane na Chaguo la Mungu. Usishindane na aliyepewa baraka na Mungu. Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliyepewa baraka zote na Mungu View attachment 3063288View attachment 3063289
ππππππPoor chawa mzee wa kuforce
HahahWanawake na picha....!!!...mdomo komaaa nyamaza
Poor chawa mzee wa kuforce
Wewe kila siku unasifia manyomi ya ufipa sijui huwa wanagawiwa mchele wacha watu wapiga mapicha na mpendwa wao njaa haijawahi zuia mwanga wa flash!Tunawakumbusha viongozi wetu kwamba, shida kubwa ya Watanzania ni Ugumu wa Maisha unaosababishwa na kuanguka kwa Uchumi na ukosefu wa ajira.
Kupiga picha na watu wenye njaa wanaotaabika kwenye kila jambo, achilia mbali kwamba ni kejeli lakini pia haikubaliki mbele za Mungu, kukusanya Masikini na kuwapiga picha ya kumbukumbu ni dhambi, kwanza unataka kuwakumbuka kwa lipi?
Tunaamini Kumbukumbu nzuri ingekuwa kuhakikisha watu hao wanaishi kwa furaha kwenye Maeneo yao ya asili bila kuwaswaga na kuwauzia Wageni, kuzalisha ajira mpya, nyongeza za mishahara, kuhakikisha bei za bidhaa zinadhibitiwa ikiwemo kuondoa Tozo kandamizi.
Wewe kila siku unasifia manyomi ya ufipa sijui huwa wanagawiwa mchele wacha watu wapiga mapicha na mpendwa wao njaa haijawahi zuia mwanga wa flash!
Tunakushukuru kwamba umekiri njaa kwa WatanzaniaWewe kila siku unasifia manyomi ya ufipa sijui huwa wanagawiwa mchele wacha watu wapiga mapicha na mpendwa wao njaa haijawahi zuia mwanga wa flash!