Nagombea Remote na Watoto!


Marvelous point!!
 
Pole kaka...wape watoto nafasi ya kuangalia kile wanachoona kinawafaa...sidhan kama muda wote watoto wanakuwa wamekodolea macho kwenye TV. kuna muda kuangalia news..hapo wote lazima muwe tayari...kuna muda watoto wanafanya Homework au tayari wamelala...hapo unaweza kujinafasi...kununua TV ingine sio solution...solution ni kutokuweka ubinafsi kwenye TV..chaneli iliyopo wote angalien..kuna pia uwezekano wakuwashawishi watoto taratibu kuwa na mazoea ya kuangalia chaneli zote na taratibu watakuunga mkono...kwa mtazamo wangu TV nyumbani kuwepo mara nyingi ni kwa watoto na wanashinda nyumbani. kwa sisi akina baba mara chache...basi kwa kumaliza kusema hayo...kama unaona huwezi kabisa kabisa kuwashawishi watoto basi fanya mpano weka TV ingine chumbani ili uipe roho yake ile kitu inapenda..kama ni mpira utaweza kuangalia.....mama watoto nae akijisikia kuangalia anaweza kufanya hivyo pia...ili hali watoto wanajinafasi na yao sebuleni.
 
NN, watoto ni muhimu kujifunza discipline. wangu hawatapata taabu coz i lov popeye, the penguins of madagascar na tom & Jerry,lol. Ila uzuri cartoons like all dstv programs, kwa siku zinarudiwa several time bt kuna series or mpira havina utamu kuangalia marudio. u shld be able to negotiate nao,we watch cartoon up until this time, then ball, then movie.. wakileta mchezo saa ya mpira wasiposaidia jikoni basi itakua homework if nt cleaning their room,lol! I miss me mom kwa kweli,hahahah!
 
yaani hii mada ilikuwa nzuri mno....

kuna suala la mtoto mmoja nae kushika remote control.....wenzie hawana sauti.....hilo nalo pia..
 
kakaaa we ni rais wa nyumba yako,watoto watakuwa vichwa maji kuangalia tv
mda mwingi,wape mda mfupi wakitoka shule wapunzike kidogo then homework
cartoon wasiangalie zaidi ya saa moja,wakisha kula wakajisomee study room kama ipo
afu walale walau saa 4.tv inaharibu sana watakuwa wajinga hasa hizi tamthilia,filamu hizi
na pia kama ni DSTV kuna program lock unaweka password hawawezi kuona baadhi ya channels
wadekeze afu uvune mabua.
 
Hapo kwenye red n bolded: kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Huko juu umetoa ushauri mzuri ila ndo umemalizia kwa mcharuko haswaaaaaa!
unajua mkuu nakushangaa kwa kuwa unaomba ushayri kwa simple and obvious. some things just need common sense. sasa kweli kama jambo ndogo kama hili linakuktatiza na mengine je yakitokea si utahama boma mkuu wangu.
 
Mm nnaishi na wadogo zangu<sio watoto> nlikuwa nakereka sana pale napotaka kuangalia labda This week in perspective ya tbc na wao wanataka kuangalia music eatv na dtv! Nilipojaribu kuwaelimisha walijifanya wamenielewa lakin nikagundua hawajaridhia kwan hata nikiwaachia waangalie vipind vyao inapofika muda wa kutizama program zangu wanaondoka wote na kubakia peke yangu(kususa) nikanunua tv ya chumban sasa hakun tatizo!
 

Ahha hhaa, umenigusa mwenzangu, mtoto akainza kukodolea hizo hata umweteje hageuki ni hatari kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…