Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie mjina yako matatu na mkoa ulipojisajili nikusaidieNimewapigia nimewapata haya nahakiki vipi namba yangu walionitajia..?
Msaada kwa anaefahamu nisije boronga mambo..[emoji3]
Kama Ni website si uiweke hapa tu bossNitajie mjina yako matatu na mkoa ulipojisajili nikusaidie
Unataka msaada au?Mkuu niambie mwenyewe nihakiki acha haya Mambo ya sijui taja..[emoji23]
Kuna ukiritimba wa kikuda Sana mkuu.Website ya nida sijui wameshaifanya nini kujua no yako kwa njia ya sms napo tabu sana hawataki sijui..😅
Msaada wa Masharti Ni ujinga.Unataka msaada au?,
Mbona kama unatufokea mkuuKwahiyo hamuoni swali au wote hamjui..?
Kutoka za kibaha au 😂😂Unahakiki Ya Nini Kama Ni Original Ama Umechukua Kwa Vishoka
Yule Kishoka Wa Kibaha Anafyatua Unatoa TenKutoka za kibaha au 😂😂
Ova
Hio no. Yenyewe uliipata kwa njia gani?Dah! Mkuu Kama ni ktk namna hiyo hapana aisee namba ninayo isipokuwa naona Kama wamenitajia haraka tu Sasa nataka niihakiki tu Kama Kuna hiyo njia weka hapa