Nahama chama

Uwezi kumuunga mkono raisi ukiwa chama chako..we ulikua ccm .... You
 
Mm ni mwanachama wa CCM lakini nimesha jihudhulu kumuunga mkono rais wetu.



#nakwenda_zimbabwe
 
Kwani ni dhambi kumuunga mkono rais ukiwa nje ya ccm?!
 
Mimi ni mzalendo sio lazima nilipwe
Kama mzalendo pigania nchi ukiwa mtu huru. Uzalendo siyo lazima uwe mwanasiasa. Kajiunge na polisi, jeshi la ulinzi, ualimu nk ili utumikie taifa lako. Siasa ni matatizo matupu
 
Hata madiwani wa Arusha walisema vivyo hivyo. Hakuna anayetangaza kiasi alicho vuta. We nenda tu haswa ngojea siku kuu flan ya kiserekali ukakae na bango lako kuwa unahamia. Fika slalama lakini sisi hatujiiii
Hivi mh. saaaaaaaana Eddo .... rais wa mioyo ya watu ... alipohama CCM na kujiunga na timu ya makamanda CHADEMA katika zile dakika za majeruhi .... CHADEMA walimnunua kwa shilingi ngapi?
 
Kama mzalendo pigania nchi ukiwa mtu huru. Uzalendo siyo lazima uwe mwanasiasa. Kajiunge na polisi, jeshi la ulinzi, ualimu nk ili utumikie taifa lako. Siasa ni matatizo matupu
Siasa haiepukiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…