Nahama MMU

Kwanza heri ya mwaka mpya bujibuji ila huko uendako...!sijui ..!?
 

Ulisalimika?
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji, huko unakotaka kuhamia mmh!
Labda utaweza, nenda, mpe hi zito na lowasa
 
Mkuu naona unawananga kiaina jukwaa la SIHASA, mwaka mpya tuuanze kwa mambo mapya.
 
Hivi jana baada ya kufumaniwa na mke wa mtu ulipona?
mwekundu, chezea Mchagga wewe??
Jamaa alikuja na bastola, mzee nilipoinuka akaona jinsi nilivyo na mwili mkubwaa, ikabidi aniombe msamaha kwa kunisumbua, pia akaniomba nimuonee huruma nisitembee tena na mkewe kwa kuwa jamaa anaumwa ugonjwa wa moyo na presha
 
Last edited by a moderator:

Samahani Bujibuji vipi kile kisa chako,my wife wako na COLMAN kiliishia wapi?
 
Last edited by a moderator:
Huko soon utapumzika kwa amani,baki huku ili uendelee kufurahi na kuongeza siku za kuishi.
 
1. km ulizoea kupewa like jua umeziach MMU.

2. KM ULISAHAU BAN HUKO UENDAKO UTAKUTANA NAZO SANA TU.ILA NA HAKIKA WIKI 2 HUMALIZI UMEKULA BAN NA KURUDI CHIT CHAT FASTA
 
Mheshimiwa, lakini kumbuka misingi ya siasa ilitoka kwenye mapenzi na familia..... unafikiri kwanini rais anatakiwa awe ni mtu mwenye mke na familia?...
 
Umeona uchaguzi mkuu unakaribia unapiga hesabu ya kampeni. akuchague nani kazi kufumaniwa na wake za watu gesti
 
best kulikoni?? HAPPY NEW YEAR WAPENDWA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…