Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Mimi nilidhani wewe ni condacta wa basi za falcon
alikuaga tingo wa hayo mabasi,hasa la yule dreva wanamwita mwakasha,akawa gari likipiga tripi ya mombasa anasafirishamo na viroba vya viungo hadi mtaji umekua.