Mimi nilidhani wewe ni condacta wa basi za falcon
Ohoo! sasa unawachokoza wakenya
Kumbe huwa una cash bucks vizuri naonanga falcon mombasa ni ka tour guide pale fort jesus hehehe
Umepanic mkuu hahaha
hadi wastlands huko nina shemej yako mhabesh
hv una dada wangapi mshaji wangu nataka nikutilie maguu hadi kitaa chenu
Ulitoka falcon ya Mshomoroni? Mbona huku kuna waTZ wengi tena mabeste. yani jamaa wanaongea nikama wametiwa battery
falcon mombasa Ukija uje umejipanga, maisha huku ni tofauti sana na Mombasa, yaani tunaendeshea kasi bila kusimama, vipi sikujua we ni single father, ila mrudishe bongo bintiye juu hapa akifika atakuwa anakoroga sheng' baada ya muda usiopungua mwaka, hata atashindwa kushika zile lahaja zenu.
Wajua nilidhani ww ni kati ya hawa wabongo wanachoma kuku barabarani mshomoroni..kumbe uko mbelembele msela,wambie wenzako bongo waje Kenya huku wasee hawana bifu za mara ohhh wewe mbongo, ohhh wewe mrwanda kulalama ni uchape kazi ule..unanishangaza ukiwatishia Msa haipo salama ilihali wewe watembea ukila bata ufuonimbona hata MK254 anaongea sana kama mzaramo,nina hakika nyie wakenya hamtamuelewa akianza kuongea kibongo,ndio ndugu nilianza kukaa falcon ya mshomoroni hapa kwenye kona kama unatoka kongowea,nilihamia kisauni,bakistani na sasa naketi nyali ya mwanzo kama unatokea kengeleni
Wewe kweli ni mwanavituko yaani ilikuwaje ukamuingiza box mwarabu tena mwenye dini tofauti na hivi yuko wapi hata mwanawe akatokea kumkosa mamake.hehehe mwanangu anazungumza english pekee,sipend kumzoesha mambo sheng atakuwa na muonekano wa kihuni.hehehehe nimeskia vijana wa nai mnavuta sana ganja
Wajua nilidhani ww ni kati ya hawa wabongo wanachoma kuku barabarani mshomoroni..kumbe uko mbelembele msela,wambie wenzako bongo waje Kenya huku wasee hawana bifu za mara ohhh wewe mbongo, ohhh wewe mrwanda kulalama ni uchape kazi ule..unanishangaza ukiwatishia Msa haipo salama ilihali wewe watembea ukila bata ufuoni
Wewe kweli ni mwanavituko yaani ilikuwaje ukamuingiza box mwarabu tena mwenye dini tofauti na hivi yuko wapi hata mwanawe akatokea kumkosa mamake.
kuja kibera ama koch land ..uko ndo kwa watanzania na wa congo