falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
-
- #61
Mm nairobi biashara all week weekend narudi nakuru kukaa na bibi story na kuishi nairobi hapana lakini wiki mzima niko doni - donholm nimehamia hapa mwezi machi
Somalis are racist kushinda waarabu boss
kwani hawajiuzi wasomali wa nairobi?
wakuu kutokana na shughuli zangu za kibiashara sasa nimeona ni vema nikiamia nairobi kufungua depot hapo hii ni baada ya mombasa kuiweka kiganjani.ikumbukwe nilisomea human resource na diplomasia lakini nimechagua kuwa mfanya biashara,mimi ni dealer muuzaji/dalali/mkulima wa viungo vyote vya chakula haswa hiriki na karafuu zaidi katika mombasa yote hadi malindi na lamu. hivyo watu wa nairobi mnipokee kijana wenu.sina familia japo nina kabinti nilimzalisha dada wa kiarabu hivyo kutokana kuwa dini tofauti nimeacha bint yangu afike miaka saba ndio nimpeleke bongo kwa bibi/nyanya yake.hivyo almost naish peke yangu.mnielekeze pahali nitaweza kupata appartment kwenye usalama bila usumbufu pia pawe karibu na dada zetu wale wauzaji (ujana maji ya moto). mwambieni huddah ajiandae nakuja nai MK254 sam999 NairobiWalker Hoodla Iconoclastes
Wewe na misifa ya ngono, mademu unapenda ila labda utakuta ni jamaa hoi ukipewa demu.
Utafiti ushabaini wanaume wale hupenda kuongea mambo ya ngono sana huwa na mapungufu kwenye hiyo taaluma na wanaongea ili kujifariji.
Nairobi unaeza kaa kama watu matajiri zaidi duniani pia unaeza kaa kama watu maskini zaidi dunia. Wee sema una pesa ngapi tukuelekeze panapokufaa kulingana na pesa ulizo nazo.
Hiriki ndio nini?
falcon mombasa usharudi kutoka uhabeshini?
mombasa nakaa appartment ya 10000ksh kwa mwezi,nafikir nikipata ya size hiyo itakuwa fiti sana
falcon mombasa usharudi kutoka uhabeshini?
peleka usukuma wako simiyu ,kazi ni kazi ndorobo wewe
mombasa nakaa appartment ya 10000ksh kwa mwezi,nafikir nikipata ya size hiyo itakuwa fiti sana
mombasa nakaa appartment ya 10000ksh kwa mwezi,nafikir nikipata ya size hiyo itakuwa fiti sana
nikizungumza kiswahili changu cha kibongo ndio watanote mapema kuwa mimi ni mjanja na wala sio kama nyinyi mnaobaka kuku na kondoo,halafu wewe MK254 mi sichukui vijakazi mi nachukua macelebrity wenu watu wenye hela zao ndio nawachukua halafu wananihonga hela,nilisema nitaanza na julie gichuru halafu huddah monroe
Hivi jina Simiyu pia lapatikana kwa Wasukuma? Mie nilidhani ni letu Waluhya.
nimerudi bibie,vp ulimuona wifi yako
Hivi jina Simiyu pia lapatikana kwa Wasukuma? Mie nilidhani ni letu Waluhya.
By the way NairobiWalker Wahaya, Wasukuma na Wanyambo have a lot in common with Luhyas. Even language, there are places you'll hear words such "Mirembe" "Omwana wanje" etc