falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
-
- #121
Unaelewa Kiluhya na Kisukuma?
bahati mbaya mimi sifahamu kuzungumza lugha za makabila,nimezaliwa dar nimesoma dar kila kitu dar,mama yangu alisoma dar tangu akiwa mdogo tena kasoma katikati ya jiji (zanaki) ,baba yangu ni mwenyeji wa dar tangu enzi hizo 1945.lakin mtu akizungumza kikikuyu najua,kiluhya,kisukuma,kichaga
Ndugu yangu nchi zawatu sifa huziwezi kaka utatoboa mfuko bure Ukija Bongo uanze kutusumbua VIKOBA
Si ndio nyie watoto wa mjini msio na mila, asili wala jadi....kazi ni kuvaa milegezo na kushobokea Mondi.
Huwa nina bidii sana ya kuhakikisha wanangu pamoja na kwamba nawalelea mjni, lakini lazima wajue asili yao na kuongea lugha za babu zetu.
Sasa unadhani wao ndivyo walivyo!! hapo wote usikute wapo nje ya Nairobi kelele tupumkuu hawa watu sumtime ni bora ukakomaa zaidi ya makadario yao kuwaonyesha jeuri la sivyo watazidi kulewa sifa
Sasa unadhani wao ndivyo walivyo!! hapo wote usikute wapo nje ya Nairobi kelele tupu
Kwani tz wapi hakuja endelea?Kwanza mimi ndio natamani sana kuishi nje ya Nairobi, nchi imeendelea kote na Wakenya wameanza kuenea mmoja mmoja. Sio kama nyie Waswahili mmejazana eneo moja.
Kama wataka madem wa nairobi wanoishi maisha ya ki celebrity then uko taabani, maana hao hu weng na ku tweng kizungu. Imagin sitting in a group of chicks speaking there fast lane English, then you jumping in the conversation with your kibongo, it just won't work, thats why most people who live in Nairobi end up speaking sheng, not by choice. But kama kizungu hauko sawa, ukijaribu kuongea kizungu itakua mbaya zaidi, you will be a turn off and boring, so stick to your bongo, but if you don't want sheng, then you will have to make sure you hang out with the cool guys, that way you will have easy access to the finest, but kama wewe ni lone wolf, it will be very hard to get attention from the high end chics of nairobi, no matter how fine your bongo is...... Unless you are a millionaire or a known celebrity or you are really really funny and fun to hang out with.
Hivi kuna lugha isiyo ya kabila? Wacha kunichekeshabahati mbaya mimi sifahamu kuzungumza lugha za makabila,nimezaliwa dar nimesoma dar kila kitu dar,mama yangu alisoma dar tangu akiwa mdogo tena kasoma katikati ya jiji (zanaki) ,baba yangu ni mwenyeji wa dar tangu enzi hizo 1945.lakin mtu akizungumza kikikuyu najua,kiluhya,kisukuma,kichaga
Hivi kuna lugha isiyo ya kabila? Wacha kunichekesha
nazungumza kiswahili na kiingereza tu