NAHAMIA SIMBA

NAHAMIA SIMBA

Mbumbumbu mnajibanza kwenye matokeo ya Azam inabidi muikumbuke sana siku ya Leo na furaha mliyoipata inawezekana msiipate Tena mpaka ligi inakwisha
Gibril silaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..!!
 
Mm shabiki kindakindaki wa yanga kuanzia leo nahamia Simba rasmi wana Simba naomba mnipokee kwann leo refa hajatubeba wakati mechi zote refa huwa anatubeba
Wana Simba naomba mnipokee View attachment 3141725View attachment 3141727nimeumia sana yanga kufungwa
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Back
Top Bottom