Nahamia Singida....!!!!

Unadhani lini utatembelea huku kusini mwa Africa -Pretoria , nikuagizie mboga! Coz nimezimiss sana mboga za nyumbani !

transboundary laws haziruhusu kuvusha mpaka mboga hai. Labda aje akununulie kabichi na sukuma wiki za kopo kwangu
 
Mie niko manyoni. Ukiwa na hamu na kuku wa kienyeji chukuchuku unisake. Sharti ni moja, uje na shemeji yangu. Usije ukamtolea macho Paw wangu buree
 
Reactions: Paw
Mie niko manyoni. Ukiwa na hamu na kuku wa kienyeji chukuchuku unisake. Sharti ni moja, uje na shemeji yangu. Usije ukamtolea macho Paw wangu buree

....kwa sahivi mi sina nitakuja mwenyewe tu labda hadi hapo baadae nikipata mnyaturu/mnyiramba mmoja.
na nakuahidi sitamtolea macho shemeji!!!!!!!
 
Mie niko manyoni. Ukiwa na hamu na kuku wa kienyeji chukuchuku unisake. Sharti ni moja, uje na shemeji yangu. Usije ukamtolea macho Paw wangu buree

Wewe nawee! Asteaste basi kutunyanyasa na huyo Paw!
Kama kipofu na yule Punda!
Ndo maana hunenepi kwa kula vya aina moja!
Changanya maviinilishe uone utakavyofumka! Hawatokwita tena King'asti watakwita Ling'asti .
 
Last edited by a moderator:
....kwa sahivi mi sina nitakuja mwenyewe tu labda hadi hapo baadae nikipata mnyaturu/mnyiramba mmoja.
na nakuahidi sitamtolea macho shemeji!!!!!!!

mmmh! Basi kuna katibu tarafa hapa ukija nitakuintrodyuzi. Uje jumamosi manake baiskeli za kurudi mjini taabu, utalala kwa huyo katibu tarafa.
 
Wewe nawee! Asteaste basi kutunyanyasa na huyo Paw!
Kama kipofu na yule Punda!
Ndo maana hunenepi kwa kula vya aina moja!
Changanya maviinilishe uone utakavyofumka! Hawatokwita tena King'asti watakwita Ling'asti .

akhuu! Unikome babu wewe. Mbona sijaamini majicho aisee, yaani kumpata Paw ni kama bahati ya kukanyaga kichwa cha kobe. He is everything in a beautiful package. Na staki kuwa ling'asti, niwe hivi hivi portable.
 
Last edited by a moderator:
mmmh! Basi kuna katibu tarafa hapa ukija nitakuintrodyuzi. Uje jumamosi manake baiskeli za kurudi mjini taabu, utalala kwa huyo katibu tarafa.

ha ha ha mtu mkubwa sana huyu, jumamosi nitakuwa hapo asee!!!
 
ha ha ha mtu mkubwa sana huyu, jumamosi nitakuwa hapo asee!!!

hehehe, karibu. Aisee unahitaji right connections, and im your best options. Hapa ukibahatisha sana zaidi ya katibu tarafa labda upate dereva wa hospitali.
Nakungojea mamii.
 
Nami nitafurah sana kukutia machoni.. Nami ntakuwa jirani yako[Dom] kuanzia mwez july.. Ntakutafuta leo jioni
 
hehehe, karibu. Aisee unahitaji right connections, and im your best options. Hapa ukibahatisha sana zaidi ya katibu tarafa labda upate dereva wa hospitali.
Nakungojea mamii.

Mbona afisa elimu hunambii wakati ndo targeted one!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…