ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
karibu sana shoga angu nimefurahi sana hadi nalia,nasikiaga dar wing,arusha wing sijui nini wing lakin singida wing no sikia kwa kweli kwa ujio wako naona utakuwa wa kheri nasi tutatokelezea kwenye front page ya cc ka hivi ;
wera, wera,weraaaa!! ujio wa Evelyn Salt na uzinduzi wa singida wing watajibeba..............,
Dah . . . . imebaki Sitimbi wing tu jameni!!!
ha ha haaaa na huko uliko shoga angu ata gari moshi inapita kweli?
W'end ipi wakati waondoka ijumaa ijayo???
shoga nipo Dom sahivi, alhamisi naenda singida ijumaa au jmosi nitakuwa mwanza!!!!!
kwahiyo weekend tutakuwa wote ma dia.
dah una roho ya kwa nini we shem weweeee kwani ungesema unafikri ningekuomba bia?
Hahahaaa
Ndio ujue sasa
Paloma. huyu Evelyn Salt ako serious kweli au anaturusha roho tu hebu find out...Karibu sana. Tutakukaribisha kintinku! Cc Kaizer
Paloma. huyu Evelyn Salt ako serious kweli au anaturusha roho tu hebu find out...
Paloma. huyu Evelyn Salt ako serious kweli au anaturusha roho tu hebu find out...
Hapo poa.. mwake mbona.... mpaka jogoo akate rufaa ... jiandae kuswim, pia usisahau nguo za kuogelea weekend ijayo.... Teh!!!"
will do as instructed!! Kaizer how are you?
Tatantalilaaa
Dah Kumbe ulikuwa Mwanza na unaondoka sijakucheki
all the best shostito...Kuna Bibi yangu kule Singida New Kiomboi utamsalimia