Nahamia Singida....!!!!


Dah . . . . imebaki Sitimbi wing tu jameni!!!
 
shoga nipo Dom sahivi, alhamisi naenda singida ijumaa au jmosi nitakuwa mwanza!!!!!
kwahiyo weekend tutakuwa wote ma dia.

Hapo poa.. mwake mbona.... mpaka jogoo akate rufaa ... jiandae kuswim, pia usisahau nguo za kuogelea weekend ijayo.... Teh!!!"
 
Dah Kumbe ulikuwa Mwanza na unaondoka sijakucheki
all the best shostito...Kuna Bibi yangu kule Singida New Kiomboi utamsalimia
 
Dah Kumbe ulikuwa Mwanza na unaondoka sijakucheki
all the best shostito...Kuna Bibi yangu kule Singida New Kiomboi utamsalimia

sijaondoka rasmi ijumaa ntakuwa mwanza....nitafurahi kukuona!!!!
salamu za bibi zimefika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…