Nahisi baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu si waaminifu

Nahisi baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu si waaminifu

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
2,348
Reaction score
5,841
Nimetoka kuongea na mke wangu muda huu akiniomba nimtumie kiasi cha pesa kw matumizi nikamuambia tu avute subira kdgo ntamtumia bdae, lkn ajabu baada ya km dakika 25 hivi inaingia msg hii, hiyo pesa tuma kwenye namba hii.

Nina uhakika hzi taarifa zetu huwa zinawafikia matapeli kupitia baadhi ya wafanyakazi wa hzi kampuni ambao si waaminifu.

sababu namba hii iliyonitumia msg (0746165416) nimejarbu kuipiga na majibu ni hya nimeweka ujumbe wa sauti chini hpo na namba niliyotakiwa kutuma pesa ni 0717029697 haipatikani
 
Lazima kwa kawaida utakuwa wasiwasi na hawa raia
kuna watu walinambia pengine namba iliwahi kutumika na mtu kabla lakini nilikua wa mwisho kuamini
kwa kweli inatia wasiwasi namba hujaifanyia muamala wowote hujawasiliana na mtu wala kuiambatanisha mahali popote lakini tapeli anaipata na kutuma sms mara bada ya kuisajili.nilirudi pale ofisini muda huohuo na kuwagombeza sana wale mabinti pale ofisini
 
Elfu Moja yangu ilipotea Kiana mpesa,ukiwauliza hiki wanajibu kile.

Nilipodindisha vya kutosha majibu yakaja subiri malalamiko Yako tunayafanyia kazi.

Miezi imepita jibu ni Hilo Hilo.

Screenshot_20230516-093722_094026.jpg
 
kuna watu walinambia pengine namba iliwahi kutumika na mtu kabla lakini nilikua wa mwisho kuamini
kwa kweli inatia wasiwasi namba hujaifanyia muamala wowote hujawasiliana na mtu wala kuiambatanisha mahali popote lakini tapeli anaipata na kutuma sms mara bada ya kuisajili.nilirudi pale ofisini muda huohuo na kuwagombeza sana wale mabinti pale ofisini
Kwamazingira nilyokutna nayo Leo Kuna namna sababu naipgia Namba iliyonitumia msg inaniambia mteja unayempigia simu yake haina salio Mara subiri unaunganishwa na mteja mwingine kifupi nimeshndwa kuwaelewa
 
Hiyo ni kweli kabisa, nilikuwa na line yangu ya halotel ila nilisajiliwa na rafiki yangu. Kipindi imekuja 4G line yangu bado ilikuwa 3G na kuibadilisha ilitakiwa mpaka aliyenisajilia eidha atoe usajili nisajili upya au awepo aweke kidole chake.( Niliambiwa mlimani city) so ikashindikana kubadilisha kwenda 4G.

Siku moja jioni nikatumiwa hela halopesa kama 800k hivi baada ya muda nikapigiwa simu na alijotambulisha ni mfanyakazi wa halotel eti aje kunibadilishia line yangu nikamwambia haiwezekani mpaka aliyenisajilia awepo na yupo mbali.

Alinilazimisha sana aje nyumbani kunibadilishia, ilikuwa jioni ila alikuwa ananilazimisha aje mpaka nyumbani nikamgomea alinilazimisha sana. Ukikata simu anapiga tena mpaka nikablock. Baadae ndio nikawaza alitaka aje ajifanye ananibadilishia asepe na kahela kangu. So hao wanataarifiana na matapeli.
 
Nina uhakika hzi taarifa zetu huwa zinawafikia matapeli kupitia baadhi ya wafanyakazi wa hzi kampuni ambao si waaminifu.

sababu namba hii iliyonitumia msg (0746165416) nimejarbu kuipiga na majibu ni hya nimeweka ujumbe wa sauti chini hpo na namba niliyotakiwa kutuma pesa ni 0717029697 haipatikani
Upo sahihi kabisa, hili limenitokea mimi na hata wafanyakazi wenzangu, tatizo hili lipo sana Vodacom na TTCL
 
Back
Top Bottom