Nahisi baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu si waaminifu

Nahisi baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu si waaminifu

Hiyo ni kweli kabisa, nilikuwa na line yangu ya halotel ila nilisajiliwa na rafiki yangu. Kipindi imekuja 4G line yangu bado ilikuwa 3G na kuibadilisha ilitakiwa mpaka aliyenisajilia eidha atoe usajili nisajili upya au awepo aweke kidole chake.( Niliambiwa mlimani city) so ikashindikana kubadilisha kwenda 4G.

Siku moja jioni nikatumiwa hela halopesa kama 800k hivi baada ya muda nikapigiwa simu na alijotambulisha ni mfanyakazi wa halotel eti aje kunibadilishia line yangu nikamwambia haiwezekani mpaka aliyenisajilia awepo na yupo mbali.

Alinilazimisha sana aje nyumbani kunibadilishia, ilikuwa jioni ila alikuwa ananilazimisha aje mpaka nyumbani nikamgomea alinilazimisha sana. Ukikata simu anapiga tena mpaka nikablock. Baadae ndio nikawaza alitaka aje ajifanye ananibadilishia asepe na kahela kangu. So hao wanataarifiana na matapeli.
Baadhi ya wafanyakazi Kwenye hzi kampuni c waaminifu huu ndio ukweli
 
Hizi sms zinaingia Kila wakati, Itakua coincendence tu
Ina maana haujamuelewa au?! Amesema namba ya mkewe imetumiwa na matapeli wametuma ujumbe ukisema kuwa namba ya mkewe haipo hewani kwahiyo wakampa namba mpya atume pesa huko badala ya kwenye namba ya mkewe.

Ndio maana anasema mitandao ya simu kuna wafanyakazi wanashirikiana na wezi wa mtandaoni kutapeli watu kwasababu taarifa zake zimewekwa rehani.

Sijui umeelewa sasa? Kama haujaelewa nambie nikufafanulie zaidi.
 
Hiyo ni kweli kabisa, nilikuwa na line yangu ya halotel ila nilisajiliwa na rafiki yangu. Kipindi imekuja 4G line yangu bado ilikuwa 3G na kuibadilisha ilitakiwa mpaka aliyenisajilia eidha atoe usajili nisajili upya au awepo aweke kidole chake.( Niliambiwa mlimani city) so ikashindikana kubadilisha kwenda 4G.

Siku moja jioni nikatumiwa hela halopesa kama 800k hivi baada ya muda nikapigiwa simu na alijotambulisha ni mfanyakazi wa halotel eti aje kunibadilishia line yangu nikamwambia haiwezekani mpaka aliyenisajilia awepo na yupo mbali.

Alinilazimisha sana aje nyumbani kunibadilishia, ilikuwa jioni ila alikuwa ananilazimisha aje mpaka nyumbani nikamgomea alinilazimisha sana. Ukikata simu anapiga tena mpaka nikablock. Baadae ndio nikawaza alitaka aje ajifanye ananibadilishia asepe na kahela kangu. So hao wanataarifiana na matapeli.
Na Bora ulishtuka mapema
 
niliwahi kuwatumia hela sh.50000.
ilikuwa hivi mdogo wangu alinipigia simu akiniomba nisaidie hiyo amount tulipomaliza kuongea ghafla inaingia sms hiyo hela uitume kwenye hii namba
basi nikatuma baada ya masaa kadhaa dogo anaipigia cm kunikumbusha no kushtuka nishatapeliwa umakini wa hali ya juu unahitajika sana
 
niliwahi kuwatumia hela sh.50000.
ilikuwa hivi mdogo wangu alinipigia simu akiniomba nisaidie hiyo amount tulipomaliza kuongea ghafla inaingia sms hiyo hela uitume kwenye hii namba
basi nikatuma baada ya masaa kadhaa dogo anaipigia cm kunikumbusha no kushtuka nishatapeliwa umakini wa hali ya juu unahitajika sana
Halafu mtu anakuambia ni coincidence tu
 
Nimetoka kuongea na mke wangu muda huu akiniomba nimtumie kiasi cha pesa kw matumizi nikamuambia tu avute subira kdgo ntamtumia bdae, lkn ajabu baada ya km dakika 25 hivi inaingia msg hii, hiyo pesa tuma kwenye namba hii.

Nina uhakika hzi taarifa zetu huwa zinawafikia matapeli kupitia baadhi ya wafanyakazi wa hzi kampuni ambao si waaminifu.

sababu namba hii iliyonitumia msg (0746165416) nimejarbu kuipiga na majibu ni hya nimeweka ujumbe wa sauti chini hpo na namba niliyotakiwa kutuma pesa ni 0717029697 haipatikani
Ni kweli,hata mimi kuna siku nimetoa pesa kwa wakala ikaja simu wanajitambulisha ni Halotel nikamtukana matusi mazito na yeye akaanza kunitukana😃
 
Juzi kati nilikua nimekaa sehem flani mitaa ya sinza ikawa imekuja noah flani ndani ina watu wanne dereva na abiria watatu mmoja kati yao ni demu mkali, mmoja wa wale watu akawa ameshuka akaja tulipokaa alikua anafahamiana na mmoja wa washkaji niliokua nao, tumekaa pale tunapiga stori muda unaenda ila wale wa kwenye gari hawashuki na wako bize na simu, huyu jamaa yangu tuliokua nae akaanza kumzingua yule jamaa aliyekuja na noah "we msenge naona mnazidi kuwapiga tu mang'ombe" yule jamaa akacheka sana akapotezea muda kidogo akarudi kwenye gari wakasepa nikamuuliza yule jamaa yangu hao jamaa ni askari? akanijibu hao ndo wale tuma kwenye namba hii wanapiga hela kinoma pale kwenye gari wanasimu zaidi ya hamsini na wako na connection na watu wa telecoms zote wanaweza kufika hapa wakascan simu zote zilizo ndani ya ya 2km, nilibaki nashangaa tu akaniambia kijana mjini hakuna shamba, na uliwapeleka polisi yeyote ile hawalali
 
Juzi kati nilikua nimekaa sehem flani mitaa ya sinza ikawa imekuja noah flani ndani ina watu wanne dereva na abiria watatu mmoja kati yao ni demu mkali, mmoja wa wale watu akawa ameshuka akaja tulipokaa alikua anafahamiana na mmoja wa washkaji niliokua nao, tumekaa pale tunapiga stori muda unaenda ila wale wa kwenye gari hawashuki na wako bize na simu, huyu jamaa yangu tuliokua nae akaanza kumzingua yule jamaa aliyekuja na noah "we msenge naona mnazidi kuwapiga tu mang'ombe" yule jamaa akacheka sana akapotezea muda kidogo akarudi kwenye gari wakasepa nikamuuliza yule jamaa yangu hao jamaa ni askari? akanijibu hao ndo wale tuma kwenye namba hii wanapiga hela kinoma pale kwenye gari wanasimu zaidi ya hamsini na wako na connection na watu wa telecoms zote wanaweza kufika hapa wakascan simu zote zilizo ndani ya ya 2km, nilibaki nashangaa tu akaniambia kijana mjini hakuna shamba, na uliwapeleka polisi yeyote ile hawalali
Dah mambo ni mengi
 
Mimi kuna siku nimetoka kusajili namba mpya tena kwenye makao makuu lakini ile nawapa mgongo tuh chuma kikaingia ile pesa tuma kwa namba hii.
Wengi ni vibaka, mishahara yao yenyewe tia maji,labda wale wataalam wa masuala ya It,lakin wale wa cv "ya kamlete" wengi ni wadokozi na Wenye tamaa🙏
 
Juzi kati nilikua nimekaa sehem flani mitaa ya sinza ikawa imekuja noah flani ndani ina watu wanne dereva na abiria watatu mmoja kati yao ni demu mkali, mmoja wa wale watu akawa ameshuka akaja tulipokaa alikua anafahamiana na mmoja wa washkaji niliokua nao, tumekaa pale tunapiga stori muda unaenda ila wale wa kwenye gari hawashuki na wako bize na simu, huyu jamaa yangu tuliokua nae akaanza kumzingua yule jamaa aliyekuja na noah "we msenge naona mnazidi kuwapiga tu mang'ombe" yule jamaa akacheka sana akapotezea muda kidogo akarudi kwenye gari wakasepa nikamuuliza yule jamaa yangu hao jamaa ni askari? akanijibu hao ndo wale tuma kwenye namba hii wanapiga hela kinoma pale kwenye gari wanasimu zaidi ya hamsini na wako na connection na watu wa telecoms zote wanaweza kufika hapa wakascan simu zote zilizo ndani ya ya 2km, nilibaki nashangaa tu akaniambia kijana mjini hakuna shamba, na uliwapeleka polisi yeyote ile hawalali
Watu ya dili
 
Back
Top Bottom