Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Inawezekana lkn kwnn matukio yanafuatanaHizi sms zinaingia Kila wakati, Itakua coincendence tu
Lazima kwa kawaida utakuwa wasiwasi na hawa raiamimi kuna siku nimetoka kusajili namba mpya tena kwenye makao makuu lakini ile nawapa mgongo tuh chuma kikaingia ile pesa tuma kwa namba hii
Itakuwa ni wao wenyewemimi kuna siku nimetoka kusajili namba mpya tena kwenye makao makuu lakini ile nawapa mgongo tuh chuma kikaingia ile pesa tuma kwa namba hii
Qqmmmkk 🤣🤣🤣🤣mimi kuna siku nimetoka kusajili namba mpya tena kwenye makao makuu lakini ile nawapa mgongo tuh chuma kikaingia ile pesa tuma kwa namba hii
kuna watu walinambia pengine namba iliwahi kutumika na mtu kabla lakini nilikua wa mwisho kuaminiLazima kwa kawaida utakuwa wasiwasi na hawa raia
Kwamazingira nilyokutna nayo Leo Kuna namna sababu naipgia Namba iliyonitumia msg inaniambia mteja unayempigia simu yake haina salio Mara subiri unaunganishwa na mteja mwingine kifupi nimeshndwa kuwaelewakuna watu walinambia pengine namba iliwahi kutumika na mtu kabla lakini nilikua wa mwisho kuamini
kwa kweli inatia wasiwasi namba hujaifanyia muamala wowote hujawasiliana na mtu wala kuiambatanisha mahali popote lakini tapeli anaipata na kutuma sms mara bada ya kuisajili.nilirudi pale ofisini muda huohuo na kuwagombeza sana wale mabinti pale ofisini
Fuattilia vizuri , hizo sms zina uhusiano sana na maongezi ya kutumiana pesaHizi sms zinaingia Kila wakati, Itakua coincendence tu
hao kuna namna wanachezea hizo line zao huwezi ongea nao kwa simu kamwe ila sms wanazionaKwamazingira nilyokutna nayo Leo Kuna namna sababu naipgia Namba iliyonitumia msg inaniambia mteja unayempigia simu yake haina salio Mara subiri unaunganishwa na mteja mwingine kifupi nimeshndwa kuwaelewa
Sahihi kabisa mkuuhao kuna namna wanachezea hizo line zao huwezi ongea nao kwa simu kamwe ila sms wanaziona
Upo sahihi kabisa, hili limenitokea mimi na hata wafanyakazi wenzangu, tatizo hili lipo sana Vodacom na TTCLNina uhakika hzi taarifa zetu huwa zinawafikia matapeli kupitia baadhi ya wafanyakazi wa hzi kampuni ambao si waaminifu.
sababu namba hii iliyonitumia msg (0746165416) nimejarbu kuipiga na majibu ni hya nimeweka ujumbe wa sauti chini hpo na namba niliyotakiwa kutuma pesa ni 0717029697 haipatikani
Wanazingua hawaUpo sahihi kabisa, hili limenitokea mimi na hata wafanyakazi wenzangu, tatizo hili lipo sana Vodacom na TTCL
Kabisa mkuuUWIZI WOWOTE UNAANZIA NDANI
kwa wale wenye uelewa watakuwa wamenielewa
Ova