Ninahisi kuwa clouds wanampango wa kuja na kitu/burudani ambayo inaweza kuwa karibu kabisa na show ya p square ili tu kuwaharibia jamaa wa EATV ili nao wabume kama wao walivyobuma.
Hii ni kutokana na niliyoyasikia leo kwenye kipindi cha jahazi kuwa wako kuna maamuzi yanafanyika.
So EATV stay tuned msiseme hamkuambiwa.
kumbe unawasikiliza wafu fm! kama wao wamefanyiwa fitna, waliofanya fitna wanajihamii, ila nao walibug ktndo cha kuwakod e-masters kwenye sound system wakt hao e-mastr n washrka wa dtv/times fm..!hahahaha noumer xanaa. Hayo maneno niliyackia backstage wakat jenereta lilipozingua kwenye fiestaaa, but co kesi clouds fm tutajipanga sio kwa kulipiza kisasi bali kwa ku kuzdsha ubunifu na kuongeza umakini.!over
naskia wanakuja na fursa dar es salaama.Ninahisi kuwa clouds wanampango wa kuja na kitu/burudani ambayo inaweza kuwa karibu kabisa na show ya p square ili tu kuwaharibia jamaa wa EATV ili nao wabume kama wao walivyobuma.
Hii ni kutokana na niliyoyasikia leo kwenye kipindi cha jahazi kuwa wako kuna maamuzi yanafanyika.
So EATV stay tuned msiseme hamkuambiwa.
kumbe unawasikiliza wafu fm! kama wao wamefanyiwa fitna, waliofanya fitna wanajihamii, ila nao walibug ktndo cha kuwakod e-masters kwenye sound system wakt hao e-mastr n washrka wa dtv/times fm..!hahahaha noumer xanaa. Hayo maneno niliyackia backstage wakat jenereta lilipozingua kwenye fiestaaa, but co kesi clouds fm tutajipanga sio kwa kulipiza kisasi bali kwa ku kuzdsha ubunifu na kuongeza umakini.!over
ni kweli clouds waliwatumia e masters kwenye issue za sound? Dj bonny love wamemtosa?
naona post ya 4 hii unamtaja bony kwani yeye ndo unadhan angeweza kuiokoa wafu fm?