Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Ninahisi kuwa clouds wanampango wa kuja na kitu/burudani ambayo inaweza kuwa karibu kabisa na show ya p square ili tu kuwaharibia jamaa wa EATV ili nao wabume kama wao walivyobuma.
Hii ni kutokana na niliyoyasikia leo kwenye kipindi cha jahazi kuwa wako kuna maamuzi yanafanyika.
So EATV stay tuned msiseme hamkuambiwa.
Hii ni kutokana na niliyoyasikia leo kwenye kipindi cha jahazi kuwa wako kuna maamuzi yanafanyika.
So EATV stay tuned msiseme hamkuambiwa.