Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
Kwema.Habari wadau wa jukwaa muhimu Sana kuliko yote maana afya ni mtaji.naenda moja kwa moja kwenye juzi tu nilikuwa nasikia mwili kuuma hasa joints baridi,mwili kuchemka hasa ikabidi niende dispensary kucheki malaria lakini nikaambiwa huna malaria zaidi nikapewa dawa za kutuliza maumivu na dawa za minyoo labda ndo inaweza ikawa sababu ya kukosa hamu ya kula. Lakini hadi sasa Hali inazidi kuwa mbaya zaidi hasa nikisikia tu harufu ya chakula au kuweka tonge mdomoni lazima nihisi kutapika sasa yaani nko dilemma sijui tatizo ni Nini.
Kwema.
Pole sana ndugu yangu. Ndio maumivu ya kiuno yapo japo siharishi .sasa mkuu naweza pataje hamu ya kula
Vipi ulipima kutumia MRDT sio? Kama ndio nakushauri urudie kipimo kwa kutumia B/S.
Pili, je kuna dalili yoyote ya kuharisha? Unahisi maumivu kwenye kiuno/Chini ya mgongo?
Asante na Karibu.
full blood picture mkuu hapo si ndo Kuna kupima vvu na tangu nizaliwe sijawahi kupima .nenda hospitali kafanye full blood picture mkuu utakuwa na infection, kwa sasa malaria sio ugonjwa tena sijui ni aina ya vipimo au majira yamebadilika maana dalili ni zile zile ila mara nyingi vipimo huonyesha hakuna tatizo
full blood picture mkuu hapo si ndo Kuna kupima vvu na tangu nizaliwe sijawahi kupima .
sawa sema hio viral infection hatar Sanahahahah hapana mkuu hakuna uhusiano wowote kati ya kupima VVU na FBP, ila hii inaweza kusaidia jua tatizo lako lakini nahisi yaweza kuwa viral infection mana huwa inadalili kama za malaria mkuu kuwa na amani tu nenda hospital inayoeleweka fanya hicho kipimo
sawa sema hio viral infection hatar Sana
aise miKapime ngoma maana dalili zake km mareria vile
Kumbe unawachoraga tu wanaopost mapochopochoMwili kuwa hovyo siyo lazima kuwa ni malaria mkuu,siku hizi watu wengi wamepuuza lishe sahihi na wanakula mavyakula ya sumu tu kama vile chips yai,wali,pilau,sembe,mavyakula ya kukaanga e.t.c sasa unategemea mwili hapo uwe sawa?Kuna uzi hapa JF unaitwa "uzi wa vyakula"kitu kama hicho, sasa kwenye huo uzi watu ni mwendo wa kuposti huko sumu tuuu badala ya vyakula!
Siku hizi badala ya watu kunywa maji kwa wingi wanakunywa soda na bia kwa wingi hata mazoezi rahisi kama vile kutembea kwa miguu hakuna kufanya ni mwendo wa kupanda magari na bodaboda tuuu!!Hakuna kitu ambacho kinaweza kikamuua mtu haraka kama kukosa maarifa/elimu!!
Rafiki hali zetu ni mbaya sana,kila mtu maarifa hakuna awe ameenda shule au hajeenda wote wako kwenye kuangamia!Kumbe unawachoraga tu wanaopost mapochopocho